kuna mtu anajiita flora msoffe cjui wanaundugu?
Labda kachanganya na gasho macheni kwa msofe mashne yake haina nguvu so hawezi kukutangazia uhuru1 dau lote hilo
Kweli wewe king kong akili mia nane kamuona gasho macheni kajua musofe. Mjini raha sana.Labda kachanganya na gasho macheni kwa msofe mashne yake haina nguvu so hawezi kukutangazia uhuru1 dau lote hilo
acha majungu weye
Zile chain anazovaa zinasema kila kitu. You don't have to ask yourself twice. Anataka kung'aa kama malaikahuyu sijui pedeshee amewahi kunikuta rose garden akadhania ningempapatikia. kaniamia heti yuko tayari kunipa 5million nilale naye. sijui anazania watu washenzi na wapumbavu kama yeye na midhaabu shingoni utafikiri ngombe. hutu wangu uai wangu, niutupe kwa sababu ya million 5? kwa kupata magonjwa ya ajabu? wala sishangai tabia za huyu mtu. anavyomwaga hela, polisi hawawezi kumkamata
Kuna ripoti nyeti zinazo igusa ikulu nitaileta hapa soon! Na yeye yumo ni mtu muhimu sana kwa shughuli binafsi za magogoni!!
Mkuu chenye mwanzo kina mwisho! Iko siku atapewa kubwa huyu na ndo itakuwa mwisho wake!siyo nguvu yake anakivuli cha mkubwa maana jamaa bonge la katili cjapata ona.kuzulumu mtu kwake ni secunde tu.
Umekataa 5M! Sasa 'hutu' wako, 'uai' wako nk. Shs ngapi?huyu sijui pedeshee amewahi kunikuta rose garden akadhania ningempapatikia. kaniamia heti yuko tayari kunipa 5million nilale naye. sijui anazania watu washenzi na wapumbavu kama yeye na midhaabu shingoni utafikiri ngombe. hutu wangu uai wangu, niutupe kwa sababu ya million 5? kwa kupata magonjwa ya ajabu? wala sishangai tabia za huyu mtu. anavyomwaga hela, polisi hawawezi kumkamata
'ripoti nyeti zinazo igusa ikulu nitaileta' Kwa hivyo ktk zile ripoti nyingi (pengine utatudokeza ni ngapi? Je ni zaidi ya 50?) unataka kutuletea moja tu? Uchoyo huo!Kuna ripoti nyeti zinazo igusa ikulu nitaileta hapa soon! Na yeye yumo ni mtu muhimu sana kwa shughuli binafsi za magogoni!!
Ndio maana juzi nilimuona mfuko wake 'umejaa serikali' badala ya pesa! Loooh!Huyu bwana kaiweka serikali ya rais {made in Bagamoyo} mfukoni mwake, na anapita akijigamba kuwa hamna mtu wa kumfanya kitu.
hili nalo neno ! Hivi anaweza kumdhulumu 'carlos' (masawe)!?Mjini sharti uwe mbishi, kuna wezi wa namna mbalimbali na wengine hawawezi kuzuiliwa na nguvu ya jeshi; huyo bwana mdogo hajagusa mali ya mbishi iliyopatikana kwa machozi jasho na damu, mali ya mbishi ambaye hahitaji msaada wa polishi wala sheria ya nchi kutetea maslahi yake!!!
Huyu Mushi kazulumu sana viwanja vya watu alitumia mgongo wa ndugu yake wa ARDHI. Hawawezi kumsulubu maana MASTERS wanakwenda mpaka makamishna wa polisi kupata bia baridi na kucheki mpira.[/QU Credibility ya polis wetu inabidi tuiangalie mara mbilli.niliwahipata sikiliza mazungumzo ya askari flan wawili bila wao kujua walikua wakisimliana jins ukibahatika kushughulikia kes ya utapeli papaa msofe nawe unavyonufaika! Wakaelezana jins wanavyozgombania..., What a shame!
Kuna ripoti nyeti zinazo igusa ikulu nitaileta hapa soon! Na yeye yumo ni mtu muhimu sana kwa shughuli binafsi za magogoni!!
Hana haja ya kununua kesi, apambane na hiyo ya kwake sasa.'ripoti nyeti zinazo igusa ikulu nitaileta' Kwa hivyo ktk zile ripoti nyingi (pengine utatudokeza ni ngapi? Je ni zaidi ya 50?) unataka kutuletea moja tu? Uchoyo huo!
N
jamaa ananunua hadi kesi.kama kuna kesi inakuzingua muuzie papa msoffe.mia