Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Tulishasema humu na kwingineko kwamba kuiteketeza CCM kunahitaji muda mfupi sana, wala hatuhitaji miezi mingi.
Muda huu ninaoandika hapa tayari Mwamba wa siasa za Eneo la Maziwa Makuu, Freeman Mbowe , Laingwanan , Mtemi Isike ama Ustaadh Aboubakar Mbowe, kama anavyofahamika Nchini Zanzibar ametua Butiama , eneo ambalo ni nyumbani kwa Baba wa Taifa la Tanzania JK NYERERE.
Hakuna maandishi yanayoweza kuelezea Ukubwa wa Mapokezi ya Chadema na yakaeleweka (kumbuka leo ni j3) , umati ni mkubwa kuliko Butiama yenyewe, ni noma.
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba katika uhai wake wote bungeni , aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Nimrod Mkono, hakuwahi kulisemea jimbo hilo kuhusu jambo lolote lile, wananchi wanaendelea kufunguka kwamba hata mbunge wa sasa, ambaye ni Naibu Waziri, hajawahi kutetea Butiama kwa lolote, inasemwa kwamba ccm imewageuza watu wa Butiama kuwa kuku wa kienyeji.
Hali halisi hii hapa, hapa ni Kata ya Buhemba, na tunakusihi usiondoke JF kwa vile mikutano ni mingi mno.
Muda huu ninaoandika hapa tayari Mwamba wa siasa za Eneo la Maziwa Makuu, Freeman Mbowe , Laingwanan , Mtemi Isike ama Ustaadh Aboubakar Mbowe, kama anavyofahamika Nchini Zanzibar ametua Butiama , eneo ambalo ni nyumbani kwa Baba wa Taifa la Tanzania JK NYERERE.
Hakuna maandishi yanayoweza kuelezea Ukubwa wa Mapokezi ya Chadema na yakaeleweka (kumbuka leo ni j3) , umati ni mkubwa kuliko Butiama yenyewe, ni noma.
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba katika uhai wake wote bungeni , aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Nimrod Mkono, hakuwahi kulisemea jimbo hilo kuhusu jambo lolote lile, wananchi wanaendelea kufunguka kwamba hata mbunge wa sasa, ambaye ni Naibu Waziri, hajawahi kutetea Butiama kwa lolote, inasemwa kwamba ccm imewageuza watu wa Butiama kuwa kuku wa kienyeji.
Hali halisi hii hapa, hapa ni Kata ya Buhemba, na tunakusihi usiondoke JF kwa vile mikutano ni mingi mno.