Bussiness idea of the 2013

nina business idea, ambayo ninauhakika inauwzo wa kutengeneza mpaka zaidi ya milioni3 kwa mwezi

-marketing plan imeandaliwa kitaalamu kabisa

mtu ambaye yupo serious na mwenye uwezo wa kuwekeza kiasi chochote kisichopungua 5,000,000 tuwasiliane simu yangu ni, 0712 494761 email titusjulius89@gmail.com
Mkuu naomba nikupe Email yangu unipe kaintro kama inasound ur idea i wil find u!!! aba.pelham@yahoo.com
 
Hii ni start up na pia ni new and untested technology hapa Tanzania na labda East Africa. Kwa hiyo ni high risk project.
Kama unavyo sema ni kweli lazima wewe uwepo ili ifaulu kwa sababu hii ni vision yako. Hivyo investor ana invest on you binafsi na kama ukishindwa biashara inazama.Naomba kuuliza:-

Share holding itakuwa vp?
Break even point unategemea iwe baada ya mda gani?
Unahitaji mtu yeyote ku invest au anapaswa awe na knowledge ya aina ghani?
Investor atatakiwa kufanya kazi yeyote?
Biashara iki fail itakuwaje? Kuna saleable assets kampuni itakuwa imenunua?
 
Hii ni Service Business, Watu wanahitaji hii huduma, xo sidhani kama itaweza kusumbua, na nimesha zungumza na mtu nikamwambia kwa kinachonipa jeuri ya kufanikisha project hii ni uwezo wangu katika maswala ya marketing.

Nashukuruni sana kwa michango yenu, Then ningependa kusema kuwa Need of Capital ni Jambo moja lakini pia wataitajika watu ambao ni very creative ili kuongeza uzito wa mipango ya kufanikisha hii project, nasema hivi kwasababu mimi nipostrong kwenye makerting. Hapa pataitaji watu wenye uwezo wa aina nyingine ili tukamilishe chein, Mfano mdogo ni swala uliloniuliza la Share Holding, Kaka nikijibu si nitakuwa nimekuibia kiingilio! Iam a good organiser na sio first time nalink Different ideas to make one thing hapa kinachohitajika ni starting point tu najua watu wenye strong ideas watapatikana

UKISOMA THINK & GROW RICH by Napoleon Hill utajifunza kitu kinaitwa Burning Desire 4 Success, Yaani project ambazo nimezifanya huwa nina apply hii kitu na huwa nafanikiwa kwa 100% yaani ni kuwin au kufia vitani

Matarajio yangu ni kuwa hii project ikifika january iwe imesimama rasmi

Mtu yoyote anaweza kuinvest Haitajiki kuwa na Experience Yoyote

Wazo langu Investor hata kama hata play part yoyote lakini Awetayari kuwa Sehemu ya kampuni.

Asilimia 75 ya capital itawekezwa kwenye fixed asset na holder atakuwa ni muwekezji xo japokuwa sibelive in risk but i belive it is still around hivyo incase of any emergence sehemu kubwa ya ccapital itakuwa imerudi

Watu wengi wependa kujua zaidi lakini bado hakuna ambae amesema direct kwamba yupo tayari.

LAKINI NAZIDI KUSHUKURU SANA KWA MWAZO YENU NA MICHANGO MBALIMBALI PIA KWA WALE AMBAO WEMEENDELEA KUONESHA NIA YA KUTAKA KUINVEST KWENYE PROJECT HII
 
Watu wengi wananipigia simu wakitaka kujua wasifu wangu xo nimeona ni vema nijibu vizuri maswali yote hapa ili swali hili lisijirudie.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 20, asili yangu ni mtu wa mbeya, elimu yangu sio ya kutisha saana lakini namshukuru mungu angalau nimepata elimu ya kuondoa ujinga, umasikini na maradhi, lakini elimu ambayo ni ya juu kidogo niliyoipata ni ya maswala ya komputer na lengo langu lilikuwa niwe softwere developer. Ok nadhani kitu ambacho kitajibu maswali mengi ni historia yangu na maswala ya ujasilia mali.
Nadhani akili ya ujasilia mali niliipata tangu nikiwa kijana mdogo na hii inaanzia mara tu nilipomaliza darasa la saba kwani wakati wenzangu wengi wakienda kujiunga na pre-form 1 mimi nilipewa mtaji wa Tsh 5000 na aliyekuwa mwalimu wangu wa Tuition kuanza biashara ya machungwa That was my First Investment, Kabla majibu hayajatolewa nilikutana na mzee mmoja ambae alikuwa ni mwalimu wa Royola Sec akawa anazungumzia maswala ya kumfungulia mke wake biashara nikamshauri afungue biashara ya kituo cha gemu za watoto, nilipomuelezea jinsi biashara ilivyo alifurahi na akaamua kuwekeza m1.5 Akamleta mdogo wake kisha akaniomba niwe nashinda nae ili nimuelekeze jinsi ya kuendesha hicho kituo. Nilifanya hivyo na mradi huo ukaenda kwa mafanikio makubwa baadae tukaweza kufungua kituo kingine Manzese tip top Hapo nikapata ajira yangu ya kwanza.
Matokeo yalipotoka nikawa nimechaguliwa kujiunga na shule ya sec ya Turiani Magomeni, Mwezi wa kwanza nilianza kazi ya uandishi nikawa naandika story ambazo zilikuwa zinasomwa shule nzima, nikaamua kuanza kutafuta nafasi kwenye magaazeti baada ya hangaika ya kipindi kirefu nikafika kampuni ya mwananchi na kupata nafasi Riwaya yangu ikapokelewa, kutoka kwenye list ya zaidi ya riwaya 30 Riwaya yangu ikapata chaguo namba moja nikaendeleza kuitoa kipindi chote nikiwa Form 1, Ikawa shughuli yangu ya 3, Sikufatilia maswala ya malipo ila Mwanafunzi Wa chuo cha UDSM frank mlawa Tukawa tumefanana mawazo tukapanga kufungua kampuni lakini kutokana na kutojua pakuanzia tukaona ni bora tuanzishe Ngo. Frank akaorganise baadhi ya wenzie wa chuo waliokuwa wakisoma diploma na mwengine digrii tukakaa kikao mimi ndio nikawa mwenyekiti tukawa tunafanya vikao kila wiki

Kutokana na Profile yangu kuwa Ndefu Ngoja tu niandike shughuli nilizo zifanya kwa kifupi

2007 – 2008

-Nilipeleka Idea ya kampuni ya Path Technology, Idea ambayo ilifanya kuzaliwa kampuni ndogo Ya path Video Production Hadi leo kampuni hii inafanya kazi na nikawa nafanya marketing mpaka naingia form3

-Nilikutana na JB akanielekeza uandishi wa film nikaenda kusoma zaidi kwenye mtandao scriptwritingsecret.com Mwaka huo nikawa nimekutana na Mzee magali (ni jirani yetu hapa kigogo) kutokana na uwezo wangu katika uandishi akanishirikisha kwenye uandishi wa Film ya Behind The Scene iliyochezwa na masuperstar Rey na Marehemu(kanumba) Mpaka Kesho mimi ni mwandishi mzuri wa script

-Niliasisi Jumuia ya wanafunzi wenye vipaji wilaya ya kinondoni Tallent Stars na tukawa katika maandalizi ya kushot film 2 ambazo niliandika mwenyewe 1. Mission of scout 2. Street Boys nasikitika nilisikia kuwa jumuia hiyo ilikufa mara baada ya mimi kumaliza shule.

-Nilitengeneza Project write up Ya Ndoto magazine Office niliyofanyia iliuza project na aliyeinunua akaiendesha kwa mafankio makubwa
2008 2009

-Nilikuwa na Idea ya kufanya Tamthilia niliandaa wazo la story Nikashirikiana na aliekuwa Msanii wa Jumba la Dhahabu Liene Amanzi Tukampelekea Hatman Mbilinyi Akatoa Full finance Assistance Ant Ezekieli Akiwa kama Project Maneger na George Tyson Director Tamthilia hiyo ilirushwa Channel 10 na baadae DSTV

2009 – 2010
Nilidhamilia kufungua Kampuni yangu kwa nguvu zozote zile Nilikamilisha Kutengeneza Project write up nampata mzee mmoja ambae alikuwa na uwezo na utayari wa kutoa gharama zozote zile ili kufanikisha usimamishaji wa kampuni hiyo Alitoa Office kwenye Hoteli Yake Inayoitwa Mount Morian Akatoa vifaa Vyote Tulivyokuwa tukihitaji Lakini alipata matatizo ya kifamilia yaliyompelekea kuyumba kiuchumi na kuniomba nisimamishe project.

2010 Nilivyomaliza Form 4 Niliombwa nikafanye kazi DODOMA VIJANA CENTER KAMA PROJECT DEVELOPER Pia ni sehemu ambayo nilifanya kwa mafanikio makubwa ila nikarudi dar ili nijiunge na chuo Form 4 nilipata F F F F F F F F F F F FF F F Na B Moja ya Math hivyo nikaingia chuo kwa mipango.
Sikumaliza kutokana na matatizo ya kiuchumi. Ndugu yangu mmoja Ambae ni Maneger Forever Living Aliniomba nimsaidie shughuli zake, Kusema kweli nilifanya Parfect Nikateuliwa kuwa nafanya mikutano mikubwa ya Training Na Mortivetional Na mpaka sasa nippohuko nawork as RECORGNISED BUSINESS PRESENTER & MORTIVETIONAL SPEAKER

-SASA KINACHONIWASHA SASA HIVI NI INCOMPLEATED DREAM TO RUN THE WORLD SUCCESSFUL ENTERTEINMENT COMPUNY
I WANT TO HEAR FROM YOU

 
Watu wengi wananipigia simu wakitaka kujua wasifu wangu xo nimeona ni vema nijibu vizuri maswali yote hapa ili swali hili lisijirudie.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 20, asili yangu ni mtu wa mbeya, elimu yangu sio ya kutisha saana lakini namshukuru mungu angalau nimepata elimu ya kuondoa ujinga, umasikini na maradhi, lakini elimu ambayo ni ya juu kidogo niliyoipata ni ya maswala ya komputer na lengo langu lilikuwa niwe softwere developer. Ok nadhani kitu ambacho kitajibu maswali mengi ni historia yangu na maswala ya ujasilia mali.
Nadhani akili ya ujasilia mali niliipata tangu nikiwa kijana mdogo na hii inaanzia mara tu nilipomaliza darasa la saba kwani wakati wenzangu wengi wakienda kujiunga na pre-form 1 mimi nilipewa mtaji wa Tsh 5000 na aliyekuwa mwalimu wangu wa Tuition kuanza biashara ya machungwa That was my First Investment, Kabla majibu hayajatolewa nilikutana na mzee mmoja ambae alikuwa ni mwalimu wa Royola Sec akawa anazungumzia maswala ya kumfungulia mke wake biashara nikamshauri afungue biashara ya kituo cha gemu za watoto, nilipomuelezea jinsi biashara ilivyo alifurahi na akaamua kuwekeza m1.5 Akamleta mdogo wake kisha akaniomba niwe nashinda nae ili nimuelekeze jinsi ya kuendesha hicho kituo. Nilifanya hivyo na mradi huo ukaenda kwa mafanikio makubwa baadae tukaweza kufungua kituo kingine Manzese tip top Hapo nikapata ajira yangu ya kwanza.
Matokeo yalipotoka nikawa nimechaguliwa kujiunga na shule ya sec ya Turiani Magomeni, Mwezi wa kwanza nilianza kazi ya uandishi nikawa naandika story ambazo zilikuwa zinasomwa shule nzima, nikaamua kuanza kutafuta nafasi kwenye magaazeti baada ya hangaika ya kipindi kirefu nikafika kampuni ya mwananchi na kupata nafasi Riwaya yangu ikapokelewa, kutoka kwenye list ya zaidi ya riwaya 30 Riwaya yangu ikapata chaguo namba moja nikaendeleza kuitoa kipindi chote nikiwa Form 1, Ikawa shughuli yangu ya 3, Sikufatilia maswala ya malipo ila Mwanafunzi Wa chuo cha UDSM frank mlawa Tukawa tumefanana mawazo tukapanga kufungua kampuni lakini kutokana na kutojua pakuanzia tukaona ni bora tuanzishe Ngo. Frank akaorganise baadhi ya wenzie wa chuo waliokuwa wakisoma diploma na mwengine digrii tukakaa kikao mimi ndio nikawa mwenyekiti tukawa tunafanya vikao kila wiki

Kutokana na Profile yangu kuwa Ndefu Ngoja tu niandike shughuli nilizo zifanya kwa kifupi

2007 – 2008

-Nilipeleka Idea ya kampuni ya Path Technology, Idea ambayo ilifanya kuzaliwa kampuni ndogo Ya path Video Production Hadi leo kampuni hii inafanya kazi na nikawa nafanya marketing mpaka naingia form3

-Nilikutana na JB akanielekeza uandishi wa film nikaenda kusoma zaidi kwenye mtandao scriptwritingsecret.com Mwaka huo nikawa nimekutana na Mzee magali (ni jirani yetu hapa kigogo) kutokana na uwezo wangu katika uandishi akanishirikisha kwenye uandishi wa Film ya Behind The Scene iliyochezwa na masuperstar Rey na Marehemu(kanumba) Mpaka Kesho mimi ni mwandishi mzuri wa script

-Niliasisi Jumuia ya wanafunzi wenye vipaji wilaya ya kinondoni Tallent Stars na tukawa katika maandalizi ya kushot film 2 ambazo niliandika mwenyewe 1. Mission of scout 2. Street Boys nasikitika nilisikia kuwa jumuia hiyo ilikufa mara baada ya mimi kumaliza shule.

-Nilitengeneza Project write up Ya Ndoto magazine Office niliyofanyia iliuza project na aliyeinunua akaiendesha kwa mafankio makubwa
2008 2009

-Nilikuwa na Idea ya kufanya Tamthilia niliandaa wazo la story Nikashirikiana na aliekuwa Msanii wa Jumba la Dhahabu Liene Amanzi Tukampelekea Hatman Mbilinyi Akatoa Full finance Assistance Ant Ezekieli Akiwa kama Project Maneger na George Tyson Director Tamthilia hiyo ilirushwa Channel 10 na baadae DSTV

2009 – 2010
Nilidhamilia kufungua Kampuni yangu kwa nguvu zozote zile Nilikamilisha Kutengeneza Project write up nampata mzee mmoja ambae alikuwa na uwezo na utayari wa kutoa gharama zozote zile ili kufanikisha usimamishaji wa kampuni hiyo Alitoa Office kwenye Hoteli Yake Inayoitwa Mount Morian Akatoa vifaa Vyote Tulivyokuwa tukihitaji Lakini alipata matatizo ya kifamilia yaliyompelekea kuyumba kiuchumi na kuniomba nisimamishe project.

2010 Nilivyomaliza Form 4 Niliombwa nikafanye kazi DODOMA VIJANA CENTER KAMA PROJECT DEVELOPER Pia ni sehemu ambayo nilifanya kwa mafanikio makubwa ila nikarudi dar ili nijiunge na chuo Form 4 nilipata F F F F F F F F F F F FF F F Na B Moja ya Math hivyo nikaingia chuo kwa mipango.
Sikumaliza kutokana na matatizo ya kiuchumi. Ndugu yangu mmoja Ambae ni Maneger Forever Living Aliniomba nimsaidie shughuli zake, Kusema kweli nilifanya Parfect Nikateuliwa kuwa nafanya mikutano mikubwa ya Training Na Mortivetional Na mpaka sasa nippohuko nawork as RECORGNISED BUSINESS PRESENTER & MORTIVETIONAL SPEAKER

-SASA KINACHONIWASHA SASA HIVI NI INCOMPLEATED DREAM TO RUN THE WORLD SUCCESSFUL ENTERTEINMENT COMPUNY
I WANT TO HEAR FROM YOU



Kwa historia uliyoitoa hapa, naoata shida kuelewa kwanini kupata sh. mil 10 iwe tatizo kwako?!!! All the people you worked with, you are working with, you meet... I mean something isnt right here!
 
Ulipata F zote na B moja kisha ukaongia chuo kwa mipango

Dalili ya mtu asiye mwaminifu
 
Ulipata F zote na B moja kisha ukaongia chuo kwa mipango

Dalili ya mtu asiye mwaminifu

Albert Einstein, named as man and genius of the 21st century the only man smart enough 2 be compared 2 sir Isaac Newton Failed miserable in all his subjects except Math,Physics and Chemistry na akashidwa kuingia chuo. I dnt know wat u can say abt that kwa logic yako
 
Albert Einstein, named as man and genius of the 21st century the only man smart enough 2 be compared 2 sir Isaac Newton Failed miserable in all his subjects except Math,Physics and Chemistry na akashidwa kuingia chuo. I dnt know wat u can say abt that kwa logic yako

Sina tatizo na mtu kutofaulu masomo yake, hata asipofaulu yote

Tatizo langu lipo kwenye kutofaulu na kisha kutumia udanganyifu kuingia chuo kikuu.

Mtu aliyeweza kudanganya wazi hapo, atashindwaje kunidanganya na mimi nikifanya naye biashara?
 
Watu wengi wananipigia simu wakitaka kujua wasifu wangu xo nimeona ni vema nijibu vizuri maswali yote hapa ili swali hili lisijirudie.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 20, asili yangu ni mtu wa mbeya, elimu yangu sio ya kutisha saana lakini namshukuru mungu angalau nimepata elimu ya kuondoa ujinga, umasikini na maradhi, lakini elimu ambayo ni ya juu kidogo niliyoipata ni ya maswala ya komputer na lengo langu lilikuwa niwe softwere developer. Ok nadhani kitu ambacho kitajibu maswali mengi ni historia yangu na maswala ya ujasilia mali.
Nadhani akili ya ujasilia mali niliipata tangu nikiwa kijana mdogo na hii inaanzia mara tu nilipomaliza darasa la saba kwani wakati wenzangu wengi wakienda kujiunga na pre-form 1 mimi nilipewa mtaji wa Tsh 5000 na aliyekuwa mwalimu wangu wa Tuition kuanza biashara ya machungwa That was my First Investment, Kabla majibu hayajatolewa nilikutana na mzee mmoja ambae alikuwa ni mwalimu wa Royola Sec akawa anazungumzia maswala ya kumfungulia mke wake biashara nikamshauri afungue biashara ya kituo cha gemu za watoto, nilipomuelezea jinsi biashara ilivyo alifurahi na akaamua kuwekeza m1.5 Akamleta mdogo wake kisha akaniomba niwe nashinda nae ili nimuelekeze jinsi ya kuendesha hicho kituo. Nilifanya hivyo na mradi huo ukaenda kwa mafanikio makubwa baadae tukaweza kufungua kituo kingine Manzese tip top Hapo nikapata ajira yangu ya kwanza.
Matokeo yalipotoka nikawa nimechaguliwa kujiunga na shule ya sec ya Turiani Magomeni, Mwezi wa kwanza nilianza kazi ya uandishi nikawa naandika story ambazo zilikuwa zinasomwa shule nzima, nikaamua kuanza kutafuta nafasi kwenye magaazeti baada ya hangaika ya kipindi kirefu nikafika kampuni ya mwananchi na kupata nafasi Riwaya yangu ikapokelewa, kutoka kwenye list ya zaidi ya riwaya 30 Riwaya yangu ikapata chaguo namba moja nikaendeleza kuitoa kipindi chote nikiwa Form 1, Ikawa shughuli yangu ya 3, Sikufatilia maswala ya malipo ila Mwanafunzi Wa chuo cha UDSM frank mlawa Tukawa tumefanana mawazo tukapanga kufungua kampuni lakini kutokana na kutojua pakuanzia tukaona ni bora tuanzishe Ngo. Frank akaorganise baadhi ya wenzie wa chuo waliokuwa wakisoma diploma na mwengine digrii tukakaa kikao mimi ndio nikawa mwenyekiti tukawa tunafanya vikao kila wiki

Kutokana na Profile yangu kuwa Ndefu Ngoja tu niandike shughuli nilizo zifanya kwa kifupi

2007 – 2008

-Nilipeleka Idea ya kampuni ya Path Technology, Idea ambayo ilifanya kuzaliwa kampuni ndogo Ya path Video Production Hadi leo kampuni hii inafanya kazi na nikawa nafanya marketing mpaka naingia form3

-Nilikutana na JB akanielekeza uandishi wa film nikaenda kusoma zaidi kwenye mtandao scriptwritingsecret.com Mwaka huo nikawa nimekutana na Mzee magali (ni jirani yetu hapa kigogo) kutokana na uwezo wangu katika uandishi akanishirikisha kwenye uandishi wa Film ya Behind The Scene iliyochezwa na masuperstar Rey na Marehemu(kanumba) Mpaka Kesho mimi ni mwandishi mzuri wa script

-Niliasisi Jumuia ya wanafunzi wenye vipaji wilaya ya kinondoni Tallent Stars na tukawa katika maandalizi ya kushot film 2 ambazo niliandika mwenyewe 1. Mission of scout 2. Street Boys nasikitika nilisikia kuwa jumuia hiyo ilikufa mara baada ya mimi kumaliza shule.

-Nilitengeneza Project write up Ya Ndoto magazine Office niliyofanyia iliuza project na aliyeinunua akaiendesha kwa mafankio makubwa
2008 2009

-Nilikuwa na Idea ya kufanya Tamthilia niliandaa wazo la story Nikashirikiana na aliekuwa Msanii wa Jumba la Dhahabu Liene Amanzi Tukampelekea Hatman Mbilinyi Akatoa Full finance Assistance Ant Ezekieli Akiwa kama Project Maneger na George Tyson Director Tamthilia hiyo ilirushwa Channel 10 na baadae DSTV

2009 – 2010
Nilidhamilia kufungua Kampuni yangu kwa nguvu zozote zile Nilikamilisha Kutengeneza Project write up nampata mzee mmoja ambae alikuwa na uwezo na utayari wa kutoa gharama zozote zile ili kufanikisha usimamishaji wa kampuni hiyo Alitoa Office kwenye Hoteli Yake Inayoitwa Mount Morian Akatoa vifaa Vyote Tulivyokuwa tukihitaji Lakini alipata matatizo ya kifamilia yaliyompelekea kuyumba kiuchumi na kuniomba nisimamishe project.

2010 Nilivyomaliza Form 4 Niliombwa nikafanye kazi DODOMA VIJANA CENTER KAMA PROJECT DEVELOPER Pia ni sehemu ambayo nilifanya kwa mafanikio makubwa ila nikarudi dar ili nijiunge na chuo Form 4 nilipata F F F F F F F F F F F FF F F Na B Moja ya Math hivyo nikaingia chuo kwa mipango.
Sikumaliza kutokana na matatizo ya kiuchumi. Ndugu yangu mmoja Ambae ni Maneger Forever Living Aliniomba nimsaidie shughuli zake, Kusema kweli nilifanya Parfect Nikateuliwa kuwa nafanya mikutano mikubwa ya Training Na Mortivetional Na mpaka sasa nippohuko nawork as RECORGNISED BUSINESS PRESENTER & MORTIVETIONAL SPEAKER

-SASA KINACHONIWASHA SASA HIVI NI INCOMPLEATED DREAM TO RUN THE WORLD SUCCESSFUL ENTERTEINMENT COMPUNY
I WANT TO HEAR FROM YOU


i see! Kila la heri msamiati. Hope utapata watu wa kuinvest.
 
Kwa historia uliyoitoa hapa, naoata shida kuelewa kwanini kupata sh. mil 10 iwe tatizo kwako?!!! All the people you worked with, you are working with, you meet... I mean something isnt right here!

inawezekana tatizo ni hao watu kutokuwa tayari, mtu anaweza kuwa na pesa ila asiwe tayari kufanya investment kama hiyo. Inawezekana pia hii b'ness idea haijawavutia (si unajua kila mtu ana mtazamo tofauti, kinachokuvutia wewe kinaweza kisimvutie mwingine)
 
Sina tatizo na mtu kutofaulu masomo yake, hata asipofaulu yote

Tatizo langu lipo kwenye kutofaulu na kisha kutumia udanganyifu kuingia chuo kikuu.

Mtu aliyeweza kudanganya wazi hapo, atashindwaje kunidanganya na mimi nikifanya naye biashara?

huo uongo mtakatifu, sio mbaya.
 
Duu Kumbe Sijaeleweka, Haukuwa mpango haramu, Ulikuwa mpago halali tu kwasababu nilitakiwa nisomeshot course Veta Pc Maintenence Then ndio nitumie kuingia chuo Japokuwa nahisi kuna afisa mmoja alinisaidia. Mimi mzee wangu ni Mwalmu Wa Bible wa Kujitegemea Xo Kwanza nimelelewa kwenye mazingira ya kidini lakini pia Yeye hawezi kushiriki kwenye Udhalimu wa aina yoyote, Nimefurahi kwa

comment zenu, But napenda kushauri tu kuwa sumu ya Biashara yoyote, hata biashara ya kuuza ulojo ni kutokuwa mwaminifu.

Dada catherine watu wamepatikana lakini bado wanataka kujua zaidi mimi wala sina neno nipo kawaida xana
 



458px-Victor_Hugo_by_Étienne_Carjat_1876.jpg
Theres Nothin Great Than A dream To make The Future
Victor Marie Hugo
Born: 26 February 1802 Besançon, France
Died 22 May 1885 (aged 83)
Paris, France
Occupation
Poet, playwright,
novelist, essayist,
visual artist, statesman,
human rights campaigner[citation needed]
Nationality French​

Vijana w kitanzania ni matajiri xana, ninasema hivi kwasababu naamini katika kauli ya Nick vudjic inayosema
" The most Disability of man is not having no arms no legs, The most disability of man it is his mind"​
Vijana wengi hapa Tanzania wanaakili kubwa sana za kufanya maajabu kushinda hata yaliyofanywa na Dogo Mark Zuckerberg au Babu Billgate, amini usiamini kama Facebook Isingegundulika Marekani Basi ingegundulika Tz Tena Manzese
Na tunapotea kwa kudhani tatizo ni kwamba vijana hawana mitaji, hapana Tatizo kubwa vijana Hawafundishwi wafanye nini na kile walichokuwa nacho but wanafundishwa kufanya kilichopo kwenye vitabu, Nadhani hatuzingatii hata maana ya neno EDUCATION ambalo ni neno la kiratini ambalo kutokea mwaka 1447 lilikuwa likisomeka kama EDUCATUS Likimaanisha Develope From Interial to Exterial, Bring it up, Bring Out. sasa sisi tunafanyiwa viseversa Bring in baada ya kudevelop what is interial tuna Broke na kudevelope what is exteral thats y Revolution ya dunia inafanyika maeneo mengine ya dunia then sisi tunafata nyuma, mafacebook yanagunduliwa huko sisi tunafata then wao wanaendelea kutangulia na wataendelea kututangulia mpaka akhera coz hata dini wao ndio walio tangulia kuzigundua . Ukienda bungeni 95% ni mababu wizarani 50% ni mababu tena wenye akili za mikia mimi naamini Hatupewi tu nafasi ya kuleta mabadiliko Hata mungu mwenyewe alitumia watu kuanzia wakiwa vijana ndio hata walipozeeka wakawa na impact kwenye jamii

Nasema hivi kwa sababu nimeorganise vijana wenzangu mara nyingi sana, ila kila ninapofanya hivyo nagundua uwezo wa ajabu sana ulio ndani yao.

Kaampuni niliyowahi kufungua niliajili waandishi wa habari 4 kutoka Uhuru gazeti na redio vijana wadogo wawili wa kike na wawili wa kiume, walikuwa na mbinu za ajabu za kufanya kazi na mipango ambayo kila mmoja atastaajabu lakini huwezi kuamini zaidi ya miaka 4 walikuwa wakifanya kazi kama Field hawapewi hata nauli mimi niliwaita ili tutumie uwezo wao kutengeneza pesa na kuleta mabadiliko, Hata mdhamini wa ile project alipokuwa anasafiri nilikuwa tayari kutoa hadi hela yangu ya nauli ya shule ili mambo yaende sema tu matatizo alyoppata mdhamini wetu ndio yalisumbua.

Hii serikal yetu ni ya K!$3#@ge sana watoto wadogo wenye sauti nzuri za kuimba na kupata hela wanatembezwa na vibabu kufundishwa kuombaomba barabarani halafu serikali inakaa kimya jamani hao wazeee wapokonywe hao watotooooooooooooooooooooooooooooooooo hao watoto sio omba omba, omba omba ni hivyo vizee vya sisiemu.

MIMI WAZO LANGU, NIKUFANYA KAMPUNI YA SANAA NA BURUDANI ITAKAYOPOKONYA TASNIA HII KUTOKA MIKONONI MWA MADIKTETA WACHACHE WANAO IENDESHA KWA FAIDA ZA MATUMBO YAO ILI VIJANA WAPATE ANGALAU PA KUPUMULIA NA NINAJUA NAWEZA KUFANYA HIVYO. KAMA KUNAMTU ANABISHA AJITOKEZE MANJI MMOJA TU ATOE M100 KAMA ALIVYOJITOKEZA YULE WA YANGA KUWALIPIA WATU ASIOWAJUA WAKAANGALIE MRIRA WABURUDIKE WAKATI HUOHUO WATOTOZAO WANAKAA CHINI DARASANI,

Mimi nisiongee sana lakini Kutoka moyoni roho inaniuma sana kuona mtaji wa vijana wenye nguvu unadidimizwa na kupelekea kijana mwenye uwezo mzuri wa kuchora anachimba mchanga bonde la msimbazi nafasi za kuchora wanapewa wachoranga, msichana mzuri mwenye maxmum convincing power anauza machungwa na machungu then nafasi yake pale brella reception kapewa nyumba ndogo wa mkrgnz anafanya kazi ya kusumbua watu na kudai rushwa kutwa nzima Ok hatutaki nafasi zenu tupeni oppen opportunity Tujaribu kuokoa jahazi Then huko maofisini mjazane tu kwanza ofisi zenyewe haziwezi kumfikisha mtu kwenye kilele cha mafanikio ila tunan'gang'ania kwasababu ndio mlivyo tufundisha. Nisiongee mengi ila..... Mimi naishia kuwaza coz ndio nguvu yangu inapoishia ila hata kama nikifa sasahivi siku yoyote ya mwaka na mwezi wowote naamini atatokea mtu kama mimi tena mwenye nguvu zaidi yangu na ataendeleza wazo hilihili.

THANKS JAMII FORUM
 

Attachments

  • 458px-Victor_Hugo_by_Étienne_Carjat_1876.bmp
    1 MB · Views: 72
Upande wangu nikiambiwa nichague waziri wa maendeleo ya jamii wewe huna mpinzani. Mimi kama Wakijitokeza watu wa kufinance mawazo yako 25% ya pesa uliyoitaja kwenye last post (100million) nitaitoa bila shida Tukipata watu 50 kama wewe kwenye serikali withn 5 yrs tutakuwa mbali sana, Watanzania tuache kutoa mamilio kwenye mashindano ya umisi mipira na mambo mengine ya starehe hebu tuitizame jamii.

HONGERA MSAMIATI
 
Duu Kumbe Sijaeleweka, Haukuwa mpango haramu, Ulikuwa mpago halali tu kwasababu nilitakiwa nisomeshot course Veta Pc Maintenence Then ndio nitumie kuingia chuo Japokuwa nahisi kuna afisa mmoja alinisaidia. Mimi mzee wangu ni Mwalmu Wa Bible wa Kujitegemea Xo Kwanza nimelelewa kwenye mazingira ya kidini lakini pia Yeye hawezi kushiriki kwenye Udhalimu wa aina yoyote, Nimefurahi kwa

comment zenu, But napenda kushauri tu kuwa sumu ya Biashara yoyote, hata biashara ya kuuza ulojo ni kutokuwa mwaminifu.

Dada catherine watu wamepatikana lakini bado wanataka kujua zaidi mimi wala sina neno nipo kawaida xana

epuka hizo "x" sehemu ya kuweka "s", unaweza ukakosa watu wa maana, hapa watu wanakujudge kwa mengi, sababu huonekani kwa sura tunaangalia mwandiko, kumshawishi mtu kutoa pesa si kazi ndogo, si suala la kuangalia b'ness idea tu bali hata mtu utakaefanya nae hiyo b'ness. (ni ushauri tu)
 
wiki hii yote nitakuwa online kusubili mtu ambae atakuwa tayari lakini kama hatapatikana nitaenda mwanza kuna mtu ambae yupo tayari kwenye upande wa mactonic sitamtaja jina, ila ametoa option kwamba project iwe mali ya kampuni yake. Thats why naendelea kusubili mwisho wa wiki nitaondoka kuelekea mwanza kama nitakuwa sijapata jibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom