Bussiness idea of the 2013

Wazo langu ni kurun City Clickers Enterteinment As Compuny Kampuny ambayo itakuwa ikiendesha miradi mikubwa miwili, Mradi utakaokuwa ukihusiana na maswala ya Sanaa na Burudani (MarketBase) na Mradi Mwingine ni Mradi Utakaokua Ukihusiana na Maswala ya Technologia ya Bussiness Machines (Mactonic Service)

MarketBase
View attachment 62430
Huu utakuwa ni Mradi ambao umelengwa kufanyika kimataifa. MB itakuwa Directory na soko kubwa La sanaa na Burudani
Mambo yatakayofanywa na kampuni hii ni mambo ambayo Hayajafanywa na kampuni yoyote ya burudani hapa Tz Pengine na East Africa kwa ujumla Ndio maana sitaki kuelezea sana hapa,Ila kutakuwa na vitu kama

MBR (Market Base Ranking) Here Is The Place where we can Bridge the gape Bitween You and People Who need You

MBA (Market Base Award) Nothing is Great Than Worldwide recognition

MBP (Market Base Projects) Nina uhakika kuwa kazi Bora za sanaa Tanzania ni zile zitakazokuwa zikitoka MarketBase

MarketBase ni Idea ambayo imekuwa ikisubiliwa kwa muda mrefu sana ilikuleta Ufumbuzi wa Matatizo Sugu katika nyanja za sanaa na burudani hususan katika nchi zetu za Africa Mashariki

Maxmum Invesment Katika Mradi Huu peke yake ni kama m7 But it can Begin with 3m only

Mradi huu ukiwa umesimama kabisa unaweza kuingiza hadi zaidi ya 5 million kwa mwezi hii ni ukitoa gharama zingine
zote za uendeshaji kama mishahara, usafiri, mawasiliano N.k

KUMBUKA! MAFANIKIO HAYALETWI KWA MALENGO MAZURI BALI HULETWA NA MIPANGO MADHUBUTI YA KUFIKIA MALENGO MarketBase imejengwa na mpango madhubuti ya kuleta ma



Ok niko interest na Sanaa na Burudani je unaweza kunifafanulia ni sanaa za aina gani ambazo Market Base itadili nayo maana kuna sanaa lukuki Tanzania, Lets talk
 
Kila aina ya sanaa na sio sanaa tu bali hata kazi za sanaa na zile zinazohusiana na sanaa
 
Big up sana kijana, coz una think big vibaya sana na unaumiza kichwa na ndio inavyotakiwa kuwa hivyo, hongera sana kwa hilo. pia vile vile huwa una idea nyingi za biashara??
 
Big up sana kijana, coz una think big vibaya sana na unaumiza kichwa na ndio inavyotakiwa kuwa hivyo, hongera sana kwa hilo. pia vile vile huwa una idea nyingi za biashara??
Nashukuru kaka, Ndio Mawazo ya jinsi ya kufanya biashara huwa nakuwa nayo japo kuwa sio mengi lakini angalau naweza nikawa na idea tofautitfauti zisizopungua 3 mpaka 4 kwa mwaka, Sema kama mtu anataka kuwekeza akiniambia anataka kuwekeza nyanja zipi basi mimi ninaweza kumpa Idea Ambayo Itafanya kazi Successfull mfano kunapost ilitumwa jamii forum jamaa alikuwa anaomba kushauriwa aina ya biashara ambayo anaweza kuifanya kwa mtaji wa shilingi laki tatu, watu wamemshauri mambo mengi kama kuuza nyanya chungu, kuuza nguo, kufungua genge N.K Mimi nikasikitika sana kwasababu ni wazi kuwa tatizo la mtu yule lilikuwa ni mtaji mdogo lakini watu wakaendelea kuiset na akili yake afikilie kidogo, kwa ushauri wa aina hii yule jamaa ataathilika kiakili na kimatendo yaani akili yake na matendo yake havitakuwa na muelekeo wa mafanikio. Hata hivyo sikuishia kusikitika tu bali nilimpa wazo kwamba hiyo laki tatu Atafute wakina mama ntilie 10 kisha akubaliane nao kuwapa Tsh 30,000 kwa kila atakae ongea nae kwa maana ya kushare nao biashara na sio mkopo kisha kila mmoja katika faida anayopata kwa siku agawane nae Tsh 1000 tu kwa kumuingizia kwenye M-pesa, akifanya hivyo ataingiza Tsh 10,000 kwa siku na Mwisho wa mwaka Atakuwa na zaidi ya Tsh 3,000,000 itakayo mtosha kabisa kuweka mipango ya kuelekea kwenye ndoto kubwa. JAMBO LA MSINGI KUZINGATIA UNAPOTAKA KUFANYA BIASHARA SIO KUFIKIRIA BIASHARA YA TOFAUTI (itakayokuwa tofauti na zingine) BALI NI KUWAZA MBINU NA MTINDO WA KIPEKEE WA KUFANYA BIASHARA ZILE ZILE ZINAZOFANYWA NA WENGINE
Wanadiplomasia kote ulimwenguni wanakubaliana kwa kauli moja na usemi unaosema

"Successfull Peaple Do not Do Different Things, They do Things Differently"

THANKS FOR APPRECIATION
 
Nashukuru kaka, Ndio Mawazo ya jinsi ya kufanya biashara huwa nakuwa nayo japo kuwa sio mengi lakini angalau naweza nikawa na idea tofautitfauti zisizopungua 3 mpaka 4 kwa mwaka, Sema kama mtu anataka kuwekeza akiniambia anataka kuwekeza nyanja zipi basi mimi ninaweza kumpa Idea Ambayo Itafanya kazi Successfull mfano kunapost ilitumwa jamii forum jamaa alikuwa anaomba kushauriwa aina ya biashara ambayo anaweza kuifanya kwa mtaji wa shilingi laki tatu, watu wamemshauri mambo mengi kama kuuza nyanya chungu, kuuza nguo, kufungua genge N.K Mimi nikasikitika sana kwasababu ni wazi kuwa tatizo la mtu yule lilikuwa ni mtaji mdogo lakini watu wakaendelea kuiset na akili yake afikilie kidogo, kwa ushauri wa aina hii yule jamaa ataathilika kiakili na kimatendo yaani akili yake na matendo yake havitakuwa na muelekeo wa mafanikio. Hata hivyo sikuishia kusikitika tu bali nilimpa wazo kwamba hiyo laki tatu Atafute wakina mama ntilie 10 kisha akubaliane nao kuwapa Tsh 30,000 kwa kila atakae ongea nae kwa maana ya kushare nao biashara na sio mkopo kisha kila mmoja katika faida anayopata kwa siku agawane nae Tsh 1000 tu kwa kumuingizia kwenye M-pesa, akifanya hivyo ataingiza Tsh 10,000 kwa siku na Mwisho wa mwaka Atakuwa na zaidi ya Tsh 3,000,000 itakayo mtosha kabisa kuweka mipango ya kuelekea kwenye ndoto kubwa. JAMBO LA MSINGI KUZINGATIA UNAPOTAKA KUFANYA BIASHARA SIO KUFIKIRIA BIASHARA YA TOFAUTI (itakayokuwa tofauti na zingine) BALI NI KUWAZA MBINU NA MTINDO WA KIPEKEE WA KUFANYA BIASHARA ZILE ZILE ZINAZOFANYWA NA WENGINE
Wanadiplomasia kote ulimwenguni wanakubaliana kwa kauli moja na usemi unaosema

"Successfull Peaple Do not Do Different Things, They do Things Differently"

THANKS FOR APPRECIATION

Useful topic, yeah ni kweli kabisa na wazo kuwapa wakina mama ni wazo zuri sana semaa wengi walimshauri ila hawakufikiria nini wanamshauri ndio tatizo kubwa, but kwa other side naweza kusema anything mtu anataka kufanya ni kufikiria tu, plus inategemea sana na amount mtu anataka kuanzia kufanya hiyo biashara kwa kiasi gani...ulimshauri vizuri na mimi itabidi nikutafute wala hamna tatizo.
 
Hivi sasa ni wiki moja tangu nifungue thread hii napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote ambao wameshirikiana na mimi kutoa michango yao mbali mbali pamoja na ushauri juu ya project ninayotaka kuifanya, vile vile kwa wale ambao wamependa kushauriana na mimi katika maswala ya biashara na hata kwa wale ambao wanafikiria kufanya hivyo.
Kunamtu aliniuliza kuwa ni njia gani anaweza kuitumia ili kuepuka hasara kwenye biashara! Mimi nimeonelea ni vyema nikamjibu hapa ili pengine iweze kuwa msaada hata kwa wengine pia

Ukweli ni kwamba Hakuna biashara yenye hasara au itakayo anzishwa na kuleta hasara hakuna! Hakuna! Hakuna! Hapa najua wengi watakuwa tofauti na mimi kwasababu tumeshatekwa na kauli iliyoanza kutumika tangu miaka ya 1800 inayosema "Biashara ni Faida na hasara" Jamani huu ni mwaka 2012 ni zaidi ya miaka 200 imepita tangu kauli hii kuanza kutumika hivyo ni lazima tubadilishe jinsi ya kufikiria, kwani hata Wanasikolojia wanaamini kuwa You cant change your life if you don't change your thinking,
Sasa pengine nielezee kwanini nimesema kuwa hakuna biashara yenye hasara
Tafsiri ya bishara inasema kuwa biashara ni kitendo cha kubadilishana bidhaa kwa bidhaa au pesa kwa lengo la kupata faida.

Kulingana na tafsiri hii ukisema kuwa biashara ni faida na hasara basi na tafsiri yake itasema biashara ni kitendo cha kubadilishana bidhaa kwa bidhaa kwa lengo la kupata faida au hasara
Elimu ambayo hata tulioishia darasa la saba tunayo ni kwamba Biashara na mmiliki wa biashara ni vitu viwili tofauti, sasa basi kulingana na tafsiri ya neno lenyewe lazima dunia nzima tukubaliane kwa kauli moja kuwa loss begin from the mind of the business owner and located there Kinacho ikumba biashara ni maambukizi tu! Kwasababu mmiliki wa biashara ndio anakuwa karibu na biashara yake muda wote, basi anaiambukiza ile state of mind na kuifanya biashara ipoteze imaana.
Katika hili hata wanadiplomasia mashuhuli duniani wataungana na mimi kwasababu wanaamini kauli inayosema "Whatever the mind can conceive and believe, it can achieve." Sasa wanajamii hapo hatuoni kuwa kwa kujenga fikra kuwa biashara ni faida na hasara tuna Risk biashara zetu wenyewe!

Mungu akipenda nitajaribu kupost some basic strategies za kuhakikisha unafanya biashara na sio unafanya biashara ya hasara (Biashara kama biashara haina hasara ila ukitafsiri biashara kama issue basi zipo biashara za hasara/issue za hasara). Na utafiti wangu unanionesha kuwa kati ya watu 100 wenye lengo la kufanya biashara watu 07 ndio wana fanikiwa kufanya biashara waliobaki wote wana fanya loss business japokuwa ni vigumu sana kwa mtu kufahamu kama unaelekea kufanya loss business, Muda wa net unanibana nadhani nitakuwa nimeanza kujubu sehemu ya swali mungu akipenda nitamalizia.


KARIBUNI
.
 
DUUUU umenifumbua macho titus inamaana uwezekano wa mtu kufanya biashara bila hasara upo? na je inamaana hata hiyo biashara unayotaka kuifanya haitakuwa na hasara? hebu niambie. Then Pleas malizia hii consept ili tupate picha kamli hii post itasaidia mamilioni ya biashara zinazowekezwa kwa hela nyingi na kufungwa kila siku hapa tanzania
MUNGU AKUBALIKI UENDELEE NA MOYO HUO HUO
 
Mimi nipo tayari kutoa Mezanine financing! kama mradi ukishaanza japo kidogo kuelekea juu.

Sasa inabidi mradi wenyewe uanze kwanza. Halafu kuwe na proof ya success hapo ulipofika na future.
 
maund kaka nitakuinfomm kila kitakachokuwa kinaendelea nitafuahi ukiungana na mimi
 
Ubarikiwe sana brotha maana hivyo vitu unavyovisema ni adimu sana na baadhi ya watu wanavitafuta sana lakini hawavipati na hata kama wakipata, wanapata kwa ghalama kubwa sana. Usichoke kuelimisha kaka
 
Mimi nipo tayari kutoa Mezanine financing! kama mradi ukishaanza japo kidogo kuelekea juu.

Sasa inabidi mradi wenyewe uanze kwanza. Halafu kuwe na proof ya success hapo ulipofika na future.

Mkuu, huyu jamaa anatafuta mwekezaji. Inakuwaje mwekezaji amwambie awekeze mwenyewe kwanza. Risk taking is a factor of production. Fumba macho, take a deep breadth, hesabu 1,2,3 piga hatua...pap. you never know. Hata Bill Gates idea haikuwa yake alidandia ya mtu hivi hivi na akawa tajiri duniani.
 
MARCTONIC SERVICE
View attachment 62431

Hii ni huduma inayokuja kwa ajili ya kupunguza mzigo wa gharama kubwa zinazotolewa kwa ajili ya opparating machines katika ofisi mbali mbali


Mimi napenda hii idea ya PCtonic au marctonic. Sasa sijui kama naruhusiwa kuchagua hii na kuwacha hiyo nyingine? Investment kwenye hii ni kiasi gani au unahitaji huyo investor awekeze kwenye idea zote mbili? sio kwamba hiyo ya burdan ni mbaya ila naona zinafaa kuwa kampuni mbili tofauti kwa ajili hizo kazi mbili hazielekei ku relate pamoja na ku benefit each other kwa njia yeyote. Hivyo unapata moja ikianza kukuwa nyingine inaweza kufa. Pia nikiangalia haina ya wafanyakazi naona kila moja inahitaji wafanya kazi wenye sifa tofauti. au wewe unasemaje kuusu hili.
 


Mimi napenda hii idea ya PCtonic au marctonic. Sasa sijui kama naruhusiwa kuchagua hii na kuwacha hiyo nyingine? Investment kwenye hii ni kiasi gani au unahitaji huyo investor awekeze kwenye idea zote mbili? sio kwamba hiyo ya burdan ni mbaya ila naona zinafaa kuwa kampuni mbili tofauti kwa ajili hizo kazi mbili hazielekei ku relate pamoja na ku benefit each other kwa njia yeyote. Hivyo unapata moja ikianza kukuwa nyingine inaweza kufa. Pia nikiangalia haina ya wafanyakazi naona kila moja inahitaji wafanya kazi wenye sifa tofauti. au wewe unasemaje kuusu hili.
Watu wengi wameshauri hivyo nimelitazama hilo na kuona kuwa ni jambo jema na linalopendeza
Nashukuru na ahsante kwa ushauri tunaweza kuonana ili kuona ni jinsi gani tunaweza kufanikisha
upande wa gharama bado gharama za kukamilisha mradi huu zipo kwenye approxmation sasa hivi ndio namalizia kuandaa business plan lakini nimejua all requrement na ambacho naweza kusema mpaka sasa ni kwamba kama utafanyika uwekezaji mzuri kwa muujibu wa busiess plan faida ya mwezi wa kwanza Itakuwa ni 1,013,000 hii ni faida ukitoa mishahara ya watu 5, office supervisor, 3 technician & 1marketing Expart na endapo tu kila mmoja atakamilisha month objective nitakayompa. Sitahitaji vyeti vya mtu kwenye matangazo ya kazi ila nitatangaza objective atakaeweza kureach objectives atakazopewa ndie atakaepata kazi hivyo watu watagombea kazi kwa ability na sio vyeti. NIAMININI NINACHOZUNGUMZA NINAJUA MOST OF WEAKNESS ZILIZOPO KWENYE BIASHARA AND HOW TO SOLVE

Great achievement is usually born of great sacrifice,

Iwill sacrifice 24 hrs of my time, 100% of my effort & 100% of my ability to make greatest achievement​

IAM SURE THE SERVICE WILL SHINE 2013 COME ON INVESTORS
 
Kama nilivyokuwa nimeahidi kumalizia swali ambalo liliuliza kama inawezekana kuepuka hasara kwenye biashara,
katika post hii nitajaribu kuendelezea kidogo, izingatiwe tu kuwa lengo la post iliyopita ni kujaribu kushauri kuwa do not set your mind in loss attitude wakati biashara ipo kwa lengo la kuleta faida.

Nadhani kuna list ndefu kidogo ya mambo madogo madogo ambayo yanapelekea biashara nyingi kutofanyika kwa mafanikio, mimi nimeigawa biashara katika maeneo makubwa mawili, kwanza ni pale inapokuwa kwenye kipindi cha maandalizi lakini pili ni kipindi biashara ikiwa kwenye mzunguko/utendaji wengi hupenda kusema biashara ikiwa imeanza lakini ufahamu wangu ni kuwa biashara haianzii hapo na kwasababu wengi huesabu kuwa huo ndio mwanzo wa biashara basi mwanzo halisi wa biashara unakuwa mbovu.
Ninachotaka kumaanisha hapa biashara haianzii wakati tayari umesha fungua ofisi umeajili na utendaji umeanza kama ni kuhudumia wateja au mauzo ya bidhaa bali huanzia pale tu unapokubaliana na wazo la biashara unayotaka kuifanya na umakini wa kuhakikisha una make business na sio Loss business unatakiwa uanzie hapo.

Leo sitakuwa na mambo mengi ya kuongea bali nitasema jambo moja tu

"MRADI WENYE MAFANIKIO NI ULE AMBAO HUANDALIWA KWA NGUVU, AKILI, NA JASHO KULIKO UNAVYO TEKELEZWA"
By T.Julius

Hints
:
Avater film iliyo jizolea umaarufu mkubwa duniani
chini ya Producer - James Cameron
Ikifanikiwa kupata tuzo mbali mbali kama
Phoenix Film Critics Society Award for Best Production Design, BFCA Critics' Choice Award for Best Editing, Academy Award for Best Cinematography, BFCA Critics' Choice Award for Best Cinematography, ADG Excellence in Production Design Awards - Fantasy Film, ADG Excellence in Production Design Award Feature Film - Contemporary Film, Academy Award for Visual Effects, Golden Globe Award for Best Director - Film, Saturn Award for Best Direction, BAFTA Award for Best Special Visual Effects, BFCA Critics' Choice Award for Best Sound, BFCA Critics' Choice Award for Best Art Direction, Saturn Award for Best Production Design, Golden Globe Award for Best Drama Film, BFCA Critics' Choice Award for Best Action Movie, Academy Award for Best Art Direction, BFCA Critics' Choice Award for Best Visual Effects, BAFTA Award for Best Production Design/Art Direction

HII ILIANDALIWA (PRE PRODUCTION ILICHUKUWA ZAIDI YA MIAKA 4

Wanajamii unapokuwa na pesa usikimbilie kufanya biashara kufungua ofisi, tafuta wafanyakazi, ajiri muasibu weka meneja kisha anza kufanya kazi mara moja. hivi hatupati picha yoyote haya matuzo yote yameletwa na mtu mmoja kwa ajili ya maandalizi makini tu! we have to change! kwanii matuzo haya sikumoja yasije Tanzania inaonesha kuwa bado tunakurupuka
Mbona maandalizi ya miradi hayahitaji elimu yoyote ya ajabu!? only just a sacrifice and commitment to success, mateminology mazito ya visibility study, project write up….., ………, ……… And so and so yasikutishe na kukunyima nafasi ya kujipanga.

SASA WANAJAMII HEBU NISAIDIENI MJOMBA KUTOKA KYELA NA DIGREE YAKE YA UCHUMI KAVUNA MPUNGA KAPATA 100MILLION BAADA YA WIKI MOJA KAFUNGUA KAMPUNI YA MAZINGIRA NA USAFI BAADA YA MWAKA 1 KAMPUNI IKAFIFIA MIEZI 6 BAADAE IKAFA HAPO ATASEMA ALIKUWA KWENYE BUSINESS UA LOSS BUSINESS?
 
we msamiati yote haya unayatoa wapi!? unamasupries! big up and thanks
 
TANGAZO TANGAZO TANGAZOHABARI WANA JAMII TAR 18th August 2012 SAA 23:51 NILIFUNGUA THREAD HAPA JF KWA LENGO LA KUPATA WATU AMBAO WATAKUWA TAYARI KUWEKEZA KWENYE BUSINESS IDEA NILIYOKUWA NAYONASHUKURU MUNGU KWA USHIRIKIANO MKUBWA AMBAO WANAJAMII FORUM NA WADAU WENGINE MMEKUWA MKIUONESHA MPAKA SASA, KWELI WATU WENGI SANA WAMEVUTIWA NA WENGINE KUONESHA NIA YA DHATI YA KUTAKA KUWEKEZA KWENYE MRADI KWENYE PROJECT HII JAPOKUWA BADO HAKUNA AMBAE AMEKUWA TAYARI DIRECT.JAMBO LA KUFURAHISHA SANA NI KWAMBA MMOJA KATI YA WATU WENGI WALIONIOMBA NIWATUMIE PROJECT WRIT UP AMESHAFUNGUA KAMPUNI HIYO NA KUIENDESHA BILA KUNIAMBIA CHOCHOTEMTU HUYU AMECHUKUA SEHEMU YA SANAA NA BURUDANI AMBAYO MIMI NILIITA MARKET BASE (MB) NA TAYARI AMESAJILI NA KUANZA UTENDAJI NA LEO NIMEPATA UHAKIKA KWA MATANGAZO YAO WALIYOBANDIKAA MAENEO MBALI MBALIJAMBO LA KUSIKITISHA NA AMBALO SIJARIFURAHIA NI TABIA YA KUNITANGAZA VIBAYA KWENYE JAMII NA KWA WADAU MBALI MBALI KUWA NINAMTANGAZIA KUWA NI MWIZI WA IDEA JAMBO AMBALO MIMI SINA HATA MAWAZO NALO, LEO ASUBUHI NIMEPIGIWA SIMU NA MTU ALIYEJITAMBULISHA KUWA NI MWANDISHI WA HABARI AKITAKA MAELEZO WAKATI MIMI SINA HATA MOJANAWAOMBA WAMILIKI WA KAMPUNI YA M-BASE NAAMINI MTAKUWA NI WATU WAZIMA NA WENYE AKILI TIMAMU“YOU HAVE THE MONEY & I HAVE THE BRAIN LET US MEET TO THE MARKET”NA NJIA NZURI YA KUNIIBIA MIMI NI KUNIIBIA KICHWA CHANGU IF POSSIBLE LA SIVYO MTAJUTA, MDAU YEYOTE AMBAE YUPO TAYARI KUSAIDIA JITIHADA ZANGU AGAINST PROVERT ANISAIDIE KWASABABU LENGO LANGU SIO KUJENGA MAISHA NI KUJENGA MABADILIKO KWENYE JAMIIAHSANTE KWA WATAKAOJITOKEZA.
 
TANGAZO TANGAZO TANGAZOHABARI WANA JAMII TAR 18th August 2012 SAA 23:51 NILIFUNGUA THREAD HAPA JF KWA LENGO LA KUPATA WATU AMBAO WATAKUWA TAYARI KUWEKEZA KWENYE BUSINESS IDEA NILIYOKUWA NAYO NASHUKURU MUNGU KWA USHIRIKIANO MKUBWA AMBAO WANAJAMII FORUM NA WADAU WENGINE MMEKUWA MKIUONESHA MPAKA SASA, KWELI WATU WENGI SANA WAMEVUTIWA NA WENGINE KUONESHA NIA YA DHATI YA KUTAKA KUWEKEZA KWENYE MRADI KWENYE PROJECT HII JAPOKUWA BADO HAKUNA AMBAE AMEKUWA TAYARI DIRECT.JAMBO LA KUFURAHISHA SANA NI KWAMBA MMOJA KATI YA WATU WENGI WALIONIOMBA NIWATUMIE PROJECT WRIT UP AMESHAFUNGUA KAMPUNI HIYO NA KUIENDESHA BILA KUNIAMBIA CHOCHOTEMTU HUYU AMECHUKUA SEHEMU YA SANAA NA BURUDANI AMBAYO MIMI NILIITA MARKET BASE (MB) NA TAYARI AMESAJILI NA KUANZA UTENDAJI NA LEO NIMEPATA UHAKIKA KWA MATANGAZO YAO WALIYOBANDIKAA MAENEO MBALI MBALIJAMBO LA KUSIKITISHA NA AMBALO SIJARIFURAHIA NI TABIA YA KUNITANGAZA VIBAYA KWENYE JAMII NA KWA WADAU MBALI MBALI KUWA NINAMTANGAZIA KUWA NI MWIZI WA IDEA JAMBO AMBALO MIMI SINA HATA MAWAZO NALO, LEO ASUBUHI NIMEPIGIWA SIMU NA MTU ALIYEJITAMBULISHA KUWA NI MWANDISHI WA HABARI AKITAKA MAELEZO WAKATI MIMI SINA HATA MOJANAWAOMBA WAMILIKI WA KAMPUNI YA M-BASE NAAMINI MTAKUWA NI WATU WAZIMA NA WENYE AKILI TIMAMU“YOU HAVE THE MONEY & I HAVE THE BRAIN LET US MEET TO THE MARKET”NA NJIA NZURI YA KUNIIBIA MIMI NI KUNIIBIA KICHWA CHANGU IF POSSIBLE LA SIVYO MTAJUTA, MDAU YEYOTE AMBAE YUPO TAYARI KUSAIDIA JITIHADA ZANGU AGAINST PROVERT ANISAIDIE KWASABABU LENGO LANGU SIO KUJENGA MAISHA NI KUJENGA MABADILIKO KWENYE JAMIINATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA WATAKAO JITOKEZA KUNIUNGA MKONO KWA HALI NA MALI NA YEYOTE ANAETAKA KUWEKEZA KWENYE MRADI HUU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom