Kesho utasikia salamu za rambirambi kwenda kwa wahusika! Ndugu yangu kama mabango ya waganga wa kienyeji mjini Dar na mikoani yamengongomelewa kwenye nguzo za umeme na siku za wkend wateja wakuu ni haohao wakubwa usitarajie akili ya kutatua kero za raia. Religion is a fatal bomb.