MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Bunuasi hakuwa Juha bali alikuwa na akili nyingi. Ni bora tupate hadithi zake kuona ukweli na uhondo wake!
Hadithi ni ncha saba! Hadithii hii hii imetolewa kwa mitindo na majina tafauti likiwemo la kile kitabu tulichosoma cha Abdul. Hivi kuna tafauti gani ya hadithi hii na ile ya "Mfalme yuko u*hi" au "Koti la Mfalme"?
Cha msingi hapa ni kuwa hadithi hizi nyingi zilikuwemo katika visa vya "Arabian Nights" na "Alfu Leila Uleila" na "Hadithi za Esopo", ambapo kimsingi makusanyo ya hadithi hizi asili yake ni fasihi simulizi kwa hiyo kila mtu anachukua, anafinyanga, anabadilisha kwa mujibu wa matakwa au jamii yake.
Hadithi ni ncha saba! Hadithii hii hii imetolewa kwa mitindo na majina tafauti likiwemo la kile kitabu tulichosoma cha Abdul. Hivi kuna tafauti gani ya hadithi hii na ile ya "Mfalme yuko u*hi" au "Koti la Mfalme"?
Cha msingi hapa ni kuwa hadithi hizi nyingi zilikuwemo katika visa vya "Arabian Nights" na "Alfu Leila Uleila" na "Hadithi za Esopo", ambapo kimsingi makusanyo ya hadithi hizi asili yake ni fasihi simulizi kwa hiyo kila mtu anachukua, anafinyanga, anabadilisha kwa mujibu wa matakwa au jamii yake.