Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Aisee, kumbe lengo la CCM ni kuhakikisha elimu duni inaendelea kutolewa nchini ili vijana wetu wasiwe na uwezo wa kuhoji madudu ya serikali, lol
Ndio maana waziri wa elimu alisema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na ___!
Aibu
hivi sisi watanzania ni nani aliyetuloga mungu tuokoe....