George J Minja
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 289
- 202
Toka 1961 mpaka leo nchi haina mtaala 2013 ndio Mbatia kashtuka kwakweli hata huu upinzani una maswali ya kujibu
wabunge wa ccm walitetea tume huru isiundwe ili kawambwa apenyeze madudu na watoto wetu wazidi kuwa vilaza kama viongozi wa ccm.
me nashangaa sana coz kuna baadhi ya watu wamelaumu sana wabunge kuchomewa mali zao kule mtwara. ila sasa uhasidi wao nadhani mumeuona. i wish jengo la bunge lingejengwa masasi, mtwara sasa lingebakia maji.u tu
1.Lukuvi
2.Makinda
3.Ndugai
......"Sisiem Kwanza, Wananchi Baadae!"
Wabunge walitakiwa kuchukua hatu hii siku nyingi tu.Ila ni bora wachukue hatua sasa kuliko kuendelea kukaa kimya na kulalamika tu.