juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,022
ujinga unaoendekezwa na CCM haupaswi kuendekezwa ikiwezekana tuandamane ili kupinga ujinga huu
haya ndio mambo ya kutuingiza barabarani.nasubiri maandamano maana tuliandamana kwa ishu za watoto mbagala,tukaweka mgomo wa kutokula nyama Mwanza,mambo ya ajabu ajabu tu!sasa hili la kitaifa,watoto wetu wanateketea kwa kunyimwa elimu nzuri ili huko mbele waje kuwa watumwa wa wenzao wanaosomeshwa ulaya huko..je,tulikalie kimya hili?nasema hivi..NASUBIRI MAANDAMANO!