Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Yote haya ni matokeo ya serikali legelege, leo itakuwa mafuta mkiwabana watatau kama walivyofanya kwa kuleta 94bn/= ambazo hatujui zimetoka wapi, kesho litaibuka jingine umekuwa mchezo sasa- tuamue nini tufanye ili tupate suluhisho la kudumu la haya matatizo!