Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

Yote haya ni matokeo ya serikali legelege, leo itakuwa mafuta mkiwabana watatau kama walivyofanya kwa kuleta 94bn/= ambazo hatujui zimetoka wapi, kesho litaibuka jingine umekuwa mchezo sasa- tuamue nini tufanye ili tupate suluhisho la kudumu la haya matatizo!
 
Mmemaliza porojo za bunge na mafuta sio??? Haya JK anawaalikeni futari jioni hii ameiandaa kwa ajili ya rais wa somalia sheikh Sharifu Shaikh Ahmed. Mnakaribishwa mkapoze machungu ya kukosa mafuta. Futar hiyo inaanza soon.


Au anataka msaada wa al shaabaab kupambana na mahasimu wake....

kwa mwaka huu hiii ni mara ya pili rais huyu kuja...
 
zitto kasema ikifika jioni vituo vya mafuta havijaanza kuuza mafuta jeshi ka polisi liingilie kati na wamiliki wa vi2o wanyang,anywe leseni
Hapo kwenye Red Dadangu Mbwange Sio Jeshi la polisi ni Jeshi la Wananchi..

Polisi wetu Hatuna Imani nao Wanaweza wakajiuzia yote wenyewe.. kisha wakatuua kama Nyamongo,
Kwenye mambo ya Pesa na Mali Polisi wetu sio Wenzetu Hapo...

Unyambilisi
 
Mimi sidhani kama hii cnhi ina mwenyewe kweli, siamini kabisa hivyo na kesho naandamana ole wake mtu aniguse, natembea na mabomu kabisa nijilipue
pole mkuu, kama ulikuwa hujui Tanzania ina kila kitu kasoro Watanzania!
 
Sijui nielezeje. Nchi iko katika matatizo ya umeme nchi nzma na sasa kumeongezeka ukosefu wa mafuta nchi nzima maana yake uchumi unelekea kusimama LAKINI HAKUNA TAMKO LA RAIS AU WAZIRIMKUU Nni kama vile nchi haina uongozi (serikali). Hii ni hali ambayo hata rais angekuwa wapi angerejea nchini. Mimi gari nimepaki kwa kukosa mafuta. Lo! mambo gani haya.
 
Kweli tuna kazi jamani. Tuliutaka ubepari bila kuusahihisha sasa tunavuna matunda yake tunasema "machungu"?

a. Kwamba wabunge wanakasirika na wafanyabiashara lakini hawaulizi kama serikali kwanini haina Strategic Oil Reserve kwa wakati kama huu? Ooh my bad.. serikali itakuwaje na SOR bila Bunge kutunga sheria na kutenga fedha!

b. Kwamba wabunge wanalalamikia bei ya mafuta wakati serikali yao hiyo hiyo imekuwa ikiingia mikataba "ya ushirikiano na maendeleo" na nchi zinazotoa mafuta kwa wingi lakini katika makubaliano hayo hatujawahi kusikia hata mara moja wamekubaliana kupata japo discount ya mafuta! Lakini sisi tunawapa ardhi na wanyama wetu kwa bei chee na wabunge hawaoni tatizo!

c. Kwamba leo watu wameona kuwa ipo haja ya serikali kuingilia kwa nguvu tatizo "la mafuta" lakini matatizo ya kila siku ya wananchi wengi zaidi hayajawahi kuingiliwa kwa nguvu? Mbona hatujawahi kusikia "hoja ya dharura" kuhusu madawati kwenye shule zetu za msingi? Mbona hatujawahi kusikia hoja ya dharura kwenye x,y.. kwanini imekuja kwenye suala la mafuta tu jambo ambalo ukilianaglia kwa karibu wala halikutakiwa kuwa kubwa hivyo kama kila mmoja angefanya kazi yake!

d. Tunaambiwa sera za ujamaa hazifai - za serikali kuingilia soko na hata kupanga bei ya bidhaa muhimu - sasa kwa muda mrefu serikali yetu ya kibepari iliacha soko liamue kwa kiasi kikubwa sasa leo bei imefika mahali ambapo watu wanalalamika serikali inaingilia kati kwa nini? Well.. wananchi bado walikuwa hawajafikia "precipice of disaster" kwani wananchi wakifikia hapo wasingeenda kununua na bei ingeanza kushuka kwani supply ingezidi demand na kulower price.. the old supply-demand curve.

Yote ni mazingaombwe tu! Vya msingi vimegeuzwa vya kupuuzia na vya kupuuzia vimekuwa vya msingi na wote tunalazimishwa kuvitambua hivyo. Simo!
 
Ingetoka upinzani ingekataliwa yalivyo mashezi huko bungeni,
tunataabika, tunanunua mafuta lita tano elfu 30

Mbunge wa Bumbuli Januari makamba ameomba mjadala wa dharura kujadili ukosekanaji wa mafuta unaotokana na wenye vituo kugoma na kupelekea nchi kuwa kwenye wakati mgumu

UPDATES
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa January mtoa hoja kuanza


 

Mh Makamba hongera sana kwa kuwa Opportunist....!

Ulikuwa mmoja wa wasaidizi wa karibu sana wa JK Ikulu b4 kuwa Mbunge.
Uzoefu wako wa Ulegevu wa govt ya JK ktk kutatua matatizo ya wananchi au Taifa kwa ujumla unaufahamu vizuri sana.
JK na Govt yake ni wachovu na walegevu wa kutupa ktk kusimamia rasilimali na kutatua matatizo mengi hapa nchi, mfano umeme, mafuta n.k...!..,
Unaujua ugonjwa huo kwa muda mrefu,
KUITAKA GOVT KUTOA TAARIFA...!!! Leo umepiga bao la kisigino....! saaafi sana. JK na hata mtoto wa mkulima alishindwa kuliona hilo tatizo kisa anajua yy mwenyewe! aibu sana kwa mtoto wa mkulima na govt mjengoni!

Pongezi sana, Leo umezungumza jambo muhimu sana kwa Taifa zima, ulijitoa mhanga kwa kuwaambia ukweli na kutokuwa mnafi ktk masuala nyeti ya Taifa, tulitegemea JK kwa siku ya jana 8/8 siku ya wakulima angezungumza na Taifa kupitia hotuba ktk sherehe hizo, but hakufanya hivyo, labda suala la mafuta kwake ni jambo dogo....!
Ukiwa ndani ya CCM na Mjengoni upande wao, inahitaji ujasiri wa kipekee kusema ukweli ktk kuikumbusha govt wajibu wake wa kuwatumikia wananchi.
Makamba ulitoa hoja nzito na govt ikazinduka usingizini ktk kuijibu hoja yako ya msingi. ninakushukuru kwa hilo, maana hizo hatua zilizotangazwa cna hakika kama zingechukuliwa. Nasema hivyo kwasababu tatizo lina zaidi ya siku 5, walikuwa wapi siku zote?

Mh Makamba ninakutegemea utakuwa mbele ktk kutanguliza UTAIFA kwa Ujumla, ifike mahala tuachane na UJUHA wa ushabiki usiofaa ktk masuala nyeti mkiwa Mjengoni, tumia nafasi yako ya Ujumbe wa CC ktk vikao vyenu vya concur kuwaambia ukweli hawa jamaa "washangiliji" kuachana na tabia ya kushangilia mambo ya kijinga, watangulize utaifa kwanza. umeonyesha mfano leo tarehe 9/8 na wao wamekuunga mkono kwa hiyo hoja yako....!

Hongereni sana wabunge wote kwa kuonyesha Utaifa ktk kuichangia hoja ya leo ya dharura khs kuondoa tatizo la Umeme.
 
Makosa makubwa yalifanyika kwa serikali kuanzisha wakala wanaotegemea wafanyabiashara kwa malipo ya kujiendelesha. Bila makampuni ya mafuta, gesi na maji EWURA haitajiendesha na itakufa. Kwa maneno mengine EWURA inategemea mkampuni hayo 100% ili iwepo, na tusitegemee kamwe kwa hali ilvyo EWURA iweze kudhibiti makampuni ya mafuta.
Serikali inaanzisha wakala kuongeza urasimu, kuzidi kuwanyonya wananchi na bahati mbaya sana ni njia ya kuwanufaisha au kuwatafutia vitengo vya kujipatia kipato zaidi baadhi ya watu na kuwaongezea mzigo wananchi wa kawaida.
Kuna haja kabisa ya serkali kuangalia upya utendaji wa wakala wa serikali na mapato ya wakala hao ili yasitegemee moja kwa moja wafanyabiashara wanaodhibitiwa kisheria na wakala husika.
Ingekuwa pia vizuri zaidi kwa tozo za taasisi mbalimbali zikajumuishwa kwenye kodi na baadye kurejeshewa na TRA ili kuondoa uduni au utegemezi wa taasisi hizo kwa wafanyabiashara au makampuni ya kibiashara.
Haiwezekani leo utoe adhabu kwa mkosaji halafu kesho uende kuomba malipo ya kutoa huduma ya adhabu!
Wakati mwingine unaweza kupata hasira ukaongea kama Masaburi pamoja na kwamba yeye ni mmojawapo wa watuhumiwa!
 
Mbunge wa Bumbuli Januari makamba ameomba mjadala wa dharura kujadili ukosekanaji wa mafuta unaotokana na wenye vituo kugoma na kupelekea nchi kuwa kwenye wakati mgumu

UPDATES
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa January mtoa hoja kuanza



Huu ni upuuzi..hapa suluhisho ni kuingia mtaani tu,haiwezekani nchi ikawa inakwenda kijinga namna hii..hakuna umeme,hakuna mafuta sasa hapa kinachofuata ni kufunga shughulli zote za uzalishaji mali...na hii ikitokea ni dalili tosha ya nchi kufa....jamani kesho tukutane pale jangwani ndio sehemu yetu ya mapambano....
 
Kweli tuna kazi jamani. Tuliutaka ubepari bila kuusahihisha sasa tunavuna matunda yake tunasema "machungu"?

a. Kwamba wabunge wanakasirika na wafanyabiashara lakini hawaulizi kama serikali kwanini haina Strategic Oil Reserve kwa wakati kama huu? Ooh my bad.. serikali itakuwaje na SOR bila Bunge kutunga sheria na kutenga fedha!

b. Kwamba wabunge wanalalamikia bei ya mafuta wakati serikali yao hiyo hiyo imekuwa ikiingia mikataba "ya ushirikiano na maendeleo" na nchi zinazotoa mafuta kwa wingi lakini katika makubaliano hayo hatujawahi kusikia hata mara moja wamekubaliana kupata japo discount ya mafuta! Lakini sisi tunawapa ardhi na wanyama wetu kwa bei chee na wabunge hawaoni tatizo!

c. Kwamba leo watu wameona kuwa ipo haja ya serikali kuingilia kwa nguvu tatizo "la mafuta" lakini matatizo ya kila siku ya wananchi wengi zaidi hayajawahi kuingiliwa kwa nguvu? Mbona hatujawahi kusikia "hoja ya dharura" kuhusu madawati kwenye shule zetu za msingi? Mbona hatujawahi kusikia hoja ya dharura kwenye x,y.. kwanini imekuja kwenye suala la mafuta tu jambo ambalo ukilianaglia kwa karibu wala halikutakiwa kuwa kubwa hivyo kama kila mmoja angefanya kazi yake!

d. Tunaambiwa sera za ujamaa hazifai - za serikali kuingilia soko na hata kupanga bei ya bidhaa muhimu - sasa kwa muda mrefu serikali yetu ya kibepari iliacha soko liamue kwa kiasi kikubwa sasa leo bei imefika mahali ambapo watu wanalalamika serikali inaingilia kati kwa nini? Well.. wananchi bado walikuwa hawajafikia "precipice of disaster" kwani wananchi wakifikia hapo wasingeenda kununua na bei ingeanza kushuka kwani supply ingezidi demand na kulower price.. the old supply-demand curve.

Yote ni mazingaombwe tu! Vya msingi vimegeuzwa vya kupuuzia na vya kupuuzia vimekuwa vya msingi na wote tunalazimishwa kuvitambua hivyo. Simo![/QUO Mwanakijiji nimekusoama kweli kunamambo mengi ya dharuratena ya maana kwa taifa kuliko hata mafuta. tuko pamoja tuendelee kuelimishana
 
mkuu hoja yako sawa lakini kumbuka wao ndio wana operate hiyo kitu kwa sasa ukisema uwanyanganye kuanzia leo ujue kutakuwa hakuna mafuta hadi utakapo pata hao wapya, je kwa muda huo wa mchakato nana atagawa mafuta, au wondolewe na vituo wapewe wengine?
tumejionea wenyewe kuwa serikali ni legelege na wabunge wanafikiri kwa kutumia makalio issue hii ingekuwa imeisha mapema mbona wafanyakazi wakiandamana kudai tu ujira mzuri wale wajinga ffu watamwagwa kibao mbona kwenye visima hawapelekwi pia kwa mfano ridhiwani kikwete anamiliki lakes shells je mtataifisha mali hiyo ................. Rai yangu ni serikali na w/mkuu wake ni wahuni tu tuchomeni moto vituo hivyo
 
Tatizo wengi wetu tunakua "Bendera Fuata" upepo,
Hatujishughulishi kujua Wafanyabiashara wa mafuta wanagomea kitu gani hasa'
"Tumemeza nzima nzima" tu kua wanaogopa hasara, kivipi? Hakuna anaejua, wala anaetaka kujua.
Mbaya zaidi tuna-quote magazeti yanayo-quote magazeti badala ya kuwa-quote wahusika direct.
Tumekua watu wa kusikiliza upande mmoja zaidi (wa serikali), bila kujiuliza upande wa pili (wafanyabiashara) nao una sababu zipi.
Ni mtego ambao umetunasa wengi wetu na kuishia kujenga chuki na makampuni hayo.
 
Tatizo wengi wetu tunakua "Bendera Fuata" upepo,
Hatujishughulishi kujua Wafanyabiashara wa mafuta wanagomea kitu gani hasa'
"Tumemeza nzima nzima" tu kua wanaogopa hasara, kivipi? Hakuna anaejua, wala anaetaka kujua.
Mbaya zaidi tuna-quote magazeti yanayo-quote magazeti badala ya kuwa-quote wahusika direct.
Tumekua watu wa kusikiliza upande mmoja zaidi (wa serikali), bila kujiuliza upande wa pili (wafanyabiashara) nao una sababu zipi.
Ni mtego ambao umetunasa wengi wetu na kuishia kujenga chuki na makampuni hayo.
Tupe mtazamo wa wafanyabiashara kwenye kiny'ang'anyiro hiki.
 
Nadhani hapa wabunge wamepata somo kubwa sana, kwamba si kila kitu kinaletwa bungeni kuwekewa stamp.<br />
Tunahitaji wabunge wenye kufikiri impact za hii miswada za muda mrefu, hawahawa ndiyo walipitisha sera za ubinafsishaji bila kufikiri kwamba kuna mambo mengine hayahitaji ubinafshaji kwa sababu za usalama wa Taifa. Nyerere alituwekea Tipper, TPDC, Visima pale kurasini tunadhani alikuwa mjinga. <br />
Ni uhuru gani huu tumeupata kupitia wawekezaji hata kwenye Nishati? No way, ni mibunge hii hii ya CCM ilipitisha kwa Ndiyoooo kama mazuzu leo inajifanya imesahau.<br />
Wabunge kunyweni matapishi yenu, Serikali iagize mafuta kupitia TPDC.
<br />
<br />

Well said Mkuu I couldn't agree more. Thank you.
 
Tatizo wengi wetu tunakua &amp;quot;Bendera Fuata&amp;quot; upepo,&lt;br /&gt;<br />
Hatujishughulishi kujua Wafanyabiashara wa mafuta wanagomea kitu gani hasa'&lt;br /&gt;<br />
&amp;quot;Tumemeza nzima nzima&amp;quot; tu kua wanaogopa hasara, kivipi? Hakuna anaejua, wala anaetaka kujua.&lt;br /&gt;<br />
Mbaya zaidi tuna-quote magazeti yanayo-quote magazeti badala ya kuwa-quote wahusika direct.&lt;br /&gt;<br />
Tumekua watu wa kusikiliza upande mmoja zaidi (wa serikali), bila kujiuliza upande wa pili (wafanyabiashara) nao una sababu zipi.&lt;br /&gt;<br />
Ni mtego ambao umetunasa wengi wetu na kuishia kujenga chuki na makampuni hayo.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
So what are you trying to say? Kama unauza mafuta weka hapa your side of the story..if I may ask nani amekataa kuwasikiliza hao wafanyabiashara au nini wanachodai na wameenda kusemea wapi? <br />
<br />
Nakushahuri ukajipange uje tena na hoja yenye mashiko.
 
Lazima kesho niandamane lazima niende Ikulu kwa Kiranja nikamweleze vijana wake wanavyopiga story bungeni na kusinzia huku wakitafuna kodi zetu

Eli mimi naona kama kiranja anasinzia kuliko vijana wake. Is it possible ukamshitaji kiranja kwa vijana wake? We are in a big mess jamani. Hivi Ngeleja na sisi watanzania tunasubiri afanye nini ndio tujue kwamba kazi imemshinda?
 
Tupe mtazamo wa wafanyabiashara kwenye kiny'ang'anyiro hiki.

Exchange rate itumikayo ya EWURA dhidi ya Dola inaiongezea nguvu Shillingi kwa takribani Tshs 20 zaidi kuliko thamani yake halisi ambayo ni hasara atakayokuja kuibeba muagizaji.
>
FOB price ya EWURA nayo ni tatizo, wakati wao wana-quote direct price from seller, ukweli ni kwamba makampuni mengi haya-orginate hapa, so wanaagiziwa hayo mafuta na Headoffices zao zilizoko nje ambapo nao wanaweka margin ku-cover some financial costs. So in a real sense FOB price should be higher than quoted EWURA's price.
>
Ni kweli walipandisha bei za mafuta ya Taa mara tu yalipopandishwa na Serikali ingawa walikua na Stock ya zamani, lakin inajulikana wazi mafuta ya taa hayo yalikua yakitumika kwenye "chakachua" hapo kabla ambayo haipo so hayana tena soko, so hata kama bei zilipanda but hayauziki, yapo tu kwenye matenki.
>
Haihusiani moja kwa moja na Bei lakin hua inaathiri pia faida ipatikanayo kwa makampuni hayo,
Mafuta yanapitia kwenye mita za TIPER kuingia kwenye matenki ya mafuta. Kuna sheria mbovu ya "whichever is a greater" inatumika ambayo hata kama kwenye mita umepita upepo na kwenye matenki yakaingia pungufu wanalazimika kulipia huo upepo kwenye kodi.
>
Kifupi ni kwamba taasisi "zinazonyonya" kwenye mafuta kama EWURA, TRA, TPA, Vipimo, TBS, Global Fluids, Sumatra, Surveyors, n.k charge zao hua ziko palepale bila kujali kampuni inapata hasara au faida.
Hizo ni baadhi tu ya wanayolalamikia watu hawa, ambao wengi wetu tumewafumbia masikio na kuamua ku-side na serikali.
Kumbuka kua watanzania wengi tu tumeajiriwa kwenye hii industry, bila kujali kua ni katika sekta zinazolipa kodi kubwa serikalini kupitia Tshs 500 wanazomega TRA kwa kila lita.
 
Mbunge wa Bumbuli Januari makamba ameomba mjadala wa dharura kujadili ukosekanaji wa mafuta unaotokana na wenye vituo kugoma na kupelekea nchi kuwa kwenye wakati mgumu

UPDATES
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa January mtoa hoja kuanza



Wabunge wote ningewaona wa maana sana kama wangetekeleza katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kifungu 38 (2) (c) - (d).
 
Back
Top Bottom