Mzee wa Posho
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 160
- 13
Wabunge wanajadili hali ya dharura bungeni! Hoja imetolewa na Mh January Makamba! Ameanza kuchangia hoja atafuata Zitto na wabunge wengine
Tujuze mkuu, ngeleja keshafanya mambo na jenereta hazina mafutaHoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa januari kuanza kuchangia
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa januari kuanza kuchangia
Ina maana kile kikao cha kamati kuu ya NEC kilichoanzisha zogo lote hili hakikutosha?
Ingekuwa ni wanafunzi wamegoma kuingia darasani basi wangevurumishiwa mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha.....lakini muuza mafuta ANAIPA SERIKALI 24hrs na "serikali" inachekacheka tuuuu...
Hivi huyu Ngeleja alizaliwa awe waziri, kwa nini asiachie ngazi kuliko kuendelea na uwaziri ambao unamfanya achukiwe hata na watoto? Umeme ukikatika unasikia watoto wanasema Ngeleja huyo anatugaia gizaPoor Ngeleja, the guy doesnt deserve this post
Zitto anaua kabisa, EURA lazima iagize mafuta yawe released soon leo hii