Bungeni Live: Naibu spika akataa hoja ya Lissu kuzungumzia kuzama kwa meli

Wakurya wamegawanyika, huyu Werema ni mkurya wa aina ya Mkila ni Wakurya wenye dharau sana ambao wanaamini kuwa wana nguvu na akili kuliko wengine. Mie nimekaa ukuryani miaka 5 nawajua sana wakurya wa namna ya Werema
 
Tatizo la CCM ndiyo hilo KUPINGA kila Hoja inayoletwa WAPINZANI. Hiyo MINDSET ndiyo inamtesa leo Spika Anne Makinda juzi alipokataa hoja Hamad Rashid.

Even my STD I hero knows that Tundu Lissu is clever than Werema
Ni sawa kabisa na tatazo la Chadema la kupinga kila kitu kinachofanywa na CCM hata kama ni kizuri wao hupinga
 
hii ni kauli ya mwanasheria mkuu bungeni kwa tundu lissu.

Kauli hii imepelekea lissu na wabunge wengine wa cdm kutoka nje ya bunge.

Naibu spika amepinga mwanasheria mkuu hajasema hivyo, na wabunge wa ccm wanapiga makele wakidai lissu hakumsikia mwanasheria mkuu vizuri.

Tutafuka?

kosa liko wapi kwani kwa ag kusema hivyo? Watt wenye fikra ndogo ndio wanaona kuna tusi, ila hapo hakuna tusi hata chemebe. Vichaa wengi tu wako barabarani wana nywele ila akili hawana, sasa hapo utasemaje? Ni kweli kabisa ag alichosema, ni kauli ambayo haina utata
 
Nilikuwa naangalia bunge wakati mwanasheria mkuu anamtetea spika juu ya uamuzi wake wa kukataa ombi la Tundu lissu kutoa hoja ya kuahirisha bunge ili kujadili ishu ya ajali ya meli. Kwa kweli kwa uelewa wangu mdogo sana wa mambo ya bunge na sheria pia ( mimi si mwana sheria wala mbunge) huyu AG wa serikali yetu sijui aliwezaje kuwa jaji na kuteuliwa pia kuwa AG. Anavyojibu alivyokuwa anaongea ni wazi kabisa inaonesha hajui kanuni na pia anachokiongea na kuishia na kutoa lugha ya kuudhi wabunge wengine hasa mtoa hoja. AG ni mtu mkubwa sana sikutegemea anaweza kuwa hivyo.

Aliteuliwa kwa kuwa ni kada wa Chama Cha Mabwepande mkuu.
 
Werema pia tuna kuweka kwenye oroza,hutabaki salama pindi tutakapo fanya mapindizi.
Yanafanyika lini hayo mapinduzi? ni ww na familia yako ndio mtahusika au na wakina nani ? nani atawekwa baada ya mapinduzi? jibu kwanza hapo ndipo ntatoa majibu yangu
 
Baraza la wawakilishi lenyewe halijajadili hoja ya ajali, nyie bunge la muungano ndio mnajifanya mnajua sana kuliko wale wenye msiba wenyewe

Sina hakika na hapo kwenye red. Hivi kumbe waliopatwa na maafa wote ni Wazanzibar? So, hakukuwepo na abiria wengine kama vile watu wa bara, watalii na watu kutoka sehemu mbalimbali?

Ingawa sipendi sana kuingilia kilichotokea bungeni, lakini nionavyo mimi si busara kukejeli mambo ya maafa.
 
Yanafanyika lini hayo mapinduzi? ni ww na familia yako ndio mtahusika au na wakina nani ? nani atawekwa baada ya mapinduzi? jibu kwanza hapo ndipo ntatoa majibu yangu
Hivi kuna mtu aliyekuomba utoe majibu??


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Lissu anawachokonoa nao wanalipuka Alijua tu hawawezi kukubali ila taarifa itakuwa imeenda kwa watanzania wote kwamba kwa mara ya pili imekataliwa. Chuki kwa wazanzibari inazidi.

Ndgu wana jf mimi nawaombeni tujikite kwenye kilichopo nyuma ya haya matukio,kwa nni sirikali hawataki ilijambo lijadiliwe bungeni??????????kuna nini nyuma ya pazia?inawezekana na wabunge wa ccm wanajuwa kinachoendelea?mbona hawaonyeshi mshikamano wakati wanajifanya nimsiba kwa taifa zima?
 
Baada ya kushuhudia malumbano hayo, sasa nimeamini, poasi na shaka kabisa kuwa serikali yetu ni mwoga mkubwa wa hoja.

Hivi kuna ubaya gani kulijadili suala hili? tena, katika mjadala serikali ingepata mawazo mazuri kutoka kwa wabunge jinsi ya kushughulikia masuala haya
Mkuu mpita njia kuna sababu lukuki:
Lakini moja na kubwa kabisa ni kuwa majuzi tu serikali imepitisha sheria ya kuruhusu manunuzi ya scepa kwa ajili ya matumizi ya umma. Japo iliyozama ni ya binafsi lakini serikali inayonunua screpa haiwezi kujadili screpa za watu binafsi.
Ukifuatilia hii ilinunuliwa wakati imeishakuwa screpa.
Sasa kuijadili hii ajali ya screpa ni kama unaiumbua serikali ya screpa.
 
Kuna mamlaka husika zipo na zitashughulikia swala hili sioni tija wala haja ya bunge kujadili swala hili kwani ni la kitaalam na sio la kisiasa,kudandia kila upuuzi na kuufanya ajenda just to take advantage of the situation is smthing stupid na kulose focus,weldone lukuvi na welema
 
Wabunge wengine wanakila viashiria vya kutafuta mianya ya kurefusha vikao vya bunge..lengo likiwa kujipatia posho zaidi na wala si kutuwakilisha kama wanavyotuhadaa. Kutekeleza azma hiyo kila aina ya mianya na visingizio hutafutwa kuhalalisha nia yao hiyo, na kwa bahati mbaya baadhi ya wafuata mkumbo hunafwa kirahisi na ulimbo wao. Kwa ufinyu wao wa uyakinifu wa fikra baadhi ya Wabunge wanadhani pamoja na kutunga sheria na kuishauri serikali, wana mamlaka ya kuendesha serikali, kutafsiri sheria na kutoa hukumu... kazi ambazo ni za mihimili mingine ya dola. Kama wabunge wetu wangekuwa really sober, honest and faithful cha kwanza ambacho wangepigania ni matumizi bora ya resources za taifa ili uwe equitably, ikiwa ni pamoja na kuacha uchu wa kujipitishia mafao yao bila kujali mafao ya wafanyakazi wa umma na wanaowawakilisha. Kwa kuziba mianya hiyo na mingine mingi taifa linaweza kuwa na a sound resource base inayoweza kutumika kutatua matatizo ya msingi yanayolikabili taifa hivi sasa. Tonachokishuhudia hivi sasa mbio za marathon za kila mtu kutafuta mianya ya kujitajirisha binafsi kwa kufuja na kuhujumu mapato ya taifa...iwe kwa waliopo madarakani, wapinzani na walio katika kila asasi za kijamii . Kuondokana na gonjwa hilo ni pamoja na kufuta kabisa ruzuku kwa vyama vya siasa ili vyama viendeshwe kwa michango ya wanachama wake ili pato la taifa litumike kuendesha serikali na si vyama vya siasa.
 
Back
Top Bottom