Nusu saa inaongezwa na spika kwa kutumia mamlaka aliyonayo.
wadau kuna kila dalili, ccm+shibuda wataibuka na ushindi wa kishindo dhidi ya wapinga maendeleo.
Namuona mbowe anatingisha kichwa kukiri kuburuzwa vibaya sana na ccm, zitto anatabasamu, mnyika amejikunyata akiwa na mawazo sana nafikili anajutia aliyoyasema dhidi ya rais maana hakuna hata tatizo moja la jimboni mwake ubungo lililogusiwa na serikali.
Hana jipya huyo anajiandaa kurudi nyinyiemshibuda yaani bado hamumjui?
wanawasiwasi ccm wanaweza wasipate 2/3 ya kura zotekura kidogo hivi zinachukua muda wote huu kuhesabiwa ktk zama hizi za dunia ya kisasa!
inabidi uwaonee huruma watanzania wenzako na siyo Mbowe ambae anauwezo wa kukulisha wewe pamoja na mama yako, baba yako na wajukuu zako kwa hiyo kushindwa kwa CDM ni kilio kwa walala hoi.....Wadau kuna kila dalili, CCM+Shibuda wataibuka na ushindi wa kishindo dhidi ya wapinga maendeleo.
Namuona mbowe anatingisha kichwa kukiri kuburuzwa vibaya sana na CCM, zitto anatabasamu, mnyika amejikunyata akiwa na mawazo sana nafikili anajutia aliyoyasema dhidi ya rais maana hakuna hata tatizo moja la jimboni mwake ubungo lililogusiwa na serikali.
hii ni aibu sana hapo kwenye red...Spika: Kuna haja ya kucomputerize mfumo wa kupiga kura. Anasema watalifanyia kazi.
357 wabunge wote.
351 waliotakiwa kupiga kura
absent 54
297 wamepiga
hapana 72
ndio 225
BAJETI IMEPITA.
Magamba magamba magamba! Sauti ya Sugu
ccm ccm ccm