huyu ndio anae faa kwa bunge tulilo nalo, kwani wengi wa wabunge wa upinzani ni vilaza wa kanuni
While everybody has a right to be stupid! but Mabumba MISUSE his stupidity!!Sylvester Mabumba is the most stupid chairperson of the tenth house of parliament.
yeye mwenyewe kafafanuliwa kanuni na lissu
uwezo wa kutatua matatizo ni mdogo sana kwake!!!!
Anawambia wasitumie Lugha za Matusi...lakini yeye anasema "KAA CHINI UNAWASHWAWASHWANINI"......Ukereketwa noma