Mbutunanga
Senior Member
- Feb 15, 2011
- 182
- 45
Liwalo na Liwe!
<p><strong></strong>Wanajamvi huyu Mwenyekiti wa Bunge wa Kipindi cha jioni ananichefua sanaaaaa! Natilia shaka uwezo wake wa kitaaluma na hata upeo wake. Naye ni dhaifu tu au Mzembe?? Naomba mwenye CV yake atuwekee angalau tujiridhishe. Hana tofauti na Naibu Spika huyu</p>
Huyu ndio anae faa kwa bunge tulilo nalo, kwani wengi wa wabunge wa upinzani ni vilaza wa kanuniHuyu mwenyekiti wa bunge jioni hii vipi, kalewa au ndiyo ukereketwa?
<p><strong></strong>Wanajamvi huyu Mwenyekiti wa Bunge wa Kipindi cha jioni ananichefua sanaaaaa! Natilia shaka uwezo wake wa kitaaluma na hata upeo wake. Naye ni dhaifu tu au Mzembe?? Naomba mwenye CV yake atuwekee angalau tujiridhishe. Hana tofauti na Naibu Spika huyu</p>
sijaangalia bunge ila ninachojua mimi zaidi ya bangi ni unga
Anavuta bangi nini!!!.
jamani wengine hatuna tv, kasemaje?
Kwa kauli hii, inaonyesha kwamba Speaker ni better kuliko manaibu na wenyeviti wake si ndivyo? It sounds nice, maana siku zote huwa najua Speaker ni mmoja wa vilaza wa kutupwa.<p><strong></strong>Wanajamvi huyu Mwenyekiti wa Bunge wa Kipindi cha jioni ananichefua sanaaaaa! Natilia shaka uwezo wake wa kitaaluma na hata upeo wake. Naye ni dhaifu tu au Mzembe?? Naomba mwenye CV yake atuwekee angalau tujiridhishe. Hana tofauti na Naibu Spika huyu</p>