paul makuli
Member
- Oct 21, 2010
- 39
- 34
Nimeshuhudia wajumbe wa ccm katika bunge la katiba wakimsikiliza Jaji Warioba,wakiwa wamenuna na wengi wakionyesha nyuso za huzuni,kunyong'onyea na wengine wana hasira kweli.Ni dhahiri kuwa ccm hawana nia njema na upatikanaji wa katiba mpya..Nawashauri tu wawe wapole hayo ndiyo maamuzi ya Wantanzania!!