Bunge letu na kura za mayowe 'NDIYO' 'SIYO'

Jamani sitoi maamuzi peke yangu nasikiliza maboss wangu wa chama. Msinishambulie sana.
 
Ahahahah aise kaaazi kwelikweli hili bunge lenu sijui ni la vichochoro vya wapi,,,, utasema mpo kariakoo, kila mtu na lake

:confused2::confused2:
 
Ahahahah aise kaaazi kwelikweli hili bunge lenu sijui ni la vichochoro vya wapi,,,, utasema mpo kariakoo, kila mtu na lake

:confused2::confused2:
Mbona halina tofauti na la pale mjengoni kwa Jobuuuuu Ndugaiiiiiiiii!
 
Heshma kwenu wanajamvi,

Wote tunafahamu kuwa bunge ni moja ya mhimili muhmu wa serikali,kwa kuwa hujadili muswada na hatimae kuptisha kuwa sheria,ambayo hutekelezwa na mahakama baada ya kuptishwa na serikali kuu,na mambo mengne meng muhmu hujadiliwa na bunge ikiwemo yale ya dharula n.k

baada ya kusema hayo niende moja kwa moja katika mada,katika dunia ya teknolojia ya sasa hv inawezekanaje tukawa tunautaratibu wa kuptisha mambo mazito yanayotikisa nch katika hali ya mzaha wa hali ya juu bungen,hv kweli wabunge wetu na watanzania kwa ujumla hatuoni kuna haja ya kubadilisha mfumo wa bunge wa kuptisha hoja uliopo hv sasa? kwamba 'wanaokubali waseme ndio na wanaokataa waseme sio',mfumo huu unampa mamalaka yaliyopitiliza spika wa bunge kuamua ama hoja ipite/iungwe mkono au la kwa mujibu ya matakwa yake
Kwa sababu wanaosema ndio wanaweza wakawa wengi na yeye akasema waliosema sio wapo weng/ wameshnda,ikumbukwe spika Wa bunge kazi yake ni kuliongoza bunge na sio kufanya maamuzi kwa niaba ya wabunge

MY TAKE
bunge letu linatajwa kuwa ni miongoni mwa mabunge yaliyojengwa kisasa pendekezo langu katika kila meza ya mbunge pawepo na button na mbele kbs ya bunge pawepo na dashboard ambayo mbunge akiibonyeza hyo button itacount na kudisplay kwenye hyo board maalum itakayokuwa inadisplay upande wa mbele kabisa ,kwa hali hii tutapata exactly figure ya wabunge ambao wamesema ndio ama sio juu ya jambo au hoja inayojadiliwa bungen kwa wakati huo. Nahs tukifanya hv tutakuwa tunatekeleza demokrasia .ya kweli lakin sio katika system iliyopo sasa hv mamlaka yote ya kuamua upande upi umeshnda waliosema ndio au sio anayo spika wa bunge
Naomba kuwasilisha
 
Huu utaratibu Wa ajabu kabisa Wa bunge letu, na utakuta mara nyingine spika anaitetea serikali na anaisaidia kupangua hoja
 
Waanaafiki waseme ndiooo..... wasiowanafiki waseme siooo......na kura ya siri hawataki, wala kuhesabiwahawataki....pupa kwenye kila kitu....After all ina reflect majority ya watanzania tulio wengi....no wonder sheria nyingine hazijawahi kutumika toka zitungwe
 
Huu mfumo unampa Spika nafasi ya kuchakachua maamuzi.

Leo kwenye kupitisha muswada wa sheria ya dawa za kulevya, Makinda kachakachua sana.
 
Hata kama wakiweka kwa utaratibu huu wa Spika kuwa Mbunge wa Chama kilichoshikilia dola bado ni lazima alinde maslahi ya chama chake kwanza!
 
Heshma kwenu wanajamvi,Wote tunafahamu kuwa bunge ni moja ya mhimili muhmu wa serikali,kwa kuwa hujadili muswada na hatimae kuptisha kuwa sheria,ambayo hutekelezwa na mahakama baada ya kuptishwa na serikali kuu,na mambo mengne meng muhmu hujadiliwa na bunge ikiwemo yale ya dharula n.kbaada ya kusema hayo niende moja kwa moja katika mada,katika dunia ya teknolojia ya sasa hv inawezekanaje tukawa tunautaratibu wa kuptisha mambo mazito yanayotikisa nch katika hali ya mzaha wa hali ya juu bungen,hv kweli wabunge wetu na watanzania kwa ujumla hatuoni kuna haja ya kubadilisha mfumo wa bunge wa kuptisha hoja uliopo hv sasa? kwamba 'wanaokubali waseme ndio na wanaokataa waseme sio',mfumo huu unampa mamalaka yaliyopitiliza spika wa bunge kuamua ama hoja ipite/iungwe mkono au la kwa mujibu ya matakwa yake Kwa sababu wanaosema ndio wanaweza wakawa wengi na yeye akasema waliosema sio wapo weng/ wameshnda,ikumbukwe spika Wa bunge kazi yake ni kuliongoza bunge na sio kufanya maamuzi kwa niaba ya wabunge MY TAKEbunge letu linatajwa kuwa ni miongoni mwa mabunge yaliyojengwa kisasa pendekezo langu katika kila meza ya mbunge pawepo na button na mbele kbs ya bunge pawepo na dashboard ambayo mbunge akiibonyeza hyo button itacount na kudisplay kwenye hyo board maalum itakayokuwa inadisplay upande wa mbele kabisa ,kwa hali hii tutapata exactly figure ya wabunge ambao wamesema ndio ama sio juu ya jambo au hoja inayojadiliwa bungen kwa wakati huo. Nahs tukifanya hv tutakuwa tunatekeleza demokrasia .ya kweli lakin sio katika system iliyopo sasa hv mamlaka yote ya kuamua upande upi umeshnda waliosema ndio au sio anayo spika wa bungeNaomba kuwasilisha
Dunia inazunguka, sisi tumesimama. Ukoloni umetujaa kila sector. Sheria za kikoloni ndo zinatumika bado
 
Back
Top Bottom