Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,566
- 1,516
anamakinda ya ndege
tokeniiiiiii mmezoeaaa kama kawAida
hutak vp mwongozo?mbona ccm unawapa fursa?ndo maana sura mbaya kama dadayako ane makinda,nenda kaongoze kijijin kwenu ndo elimu yako ---- weye
Jamani waheshimiwa, wananchi wanawaangalieni msitumie maneno mbofumbofu watawashangaa. Kwa mamlaka niliyo nayo nawaomba mfute kauli zenu ndani ya dakika tano lasivyo naita askari wawatoe nje kwa mitama na mateke. Si mnanijua lakini.Mh. Spika naomba onduru ogy atolewe nje kwa kunidhihaki
Taarifa gani na wewe! Mbona mnanichosha? Saivi nimesema sitaki taarifa wala mwongozo. Kiti kitatoa nafasi hiyo muda wowote, siku yoyote au mwaka wowote ntakavyoona inafaa.Taarifaa.
Na wewe utapigwa tu. Hamna haja hata ya kutumia kanuni yoyote kwa mtu kama wewe maana unaonekana ni mtata sana.:help: