Bunge lakanusha Kauli ya Mbowe kuwa Mshahara wa Wabunge umepanda kutoka Tsh Milioni 13 hadi 18

Kumbe waheshimiwa wetu wanapewa mishahara kidogo hivyo mil13 ni ndogo sana ukilinganisha na majumu mazito wanayoyafanya kwaajili yetu.Waongeze angalau mil 29 Kwa mwezi ili kuendana na maisha ya sasa.Mishahara Yao ikiwa midogo hata utendaji kazi unapungua.Waheshimiwa kwanza sisi baadae.
Tatizo no umasikini tu

Kama tungeacha kuwaomba pesa mtaani, 5m ingetosha

Nawaza tu, baba ndubwi anajisikiaje kuongopa ?
 
Duh yaani inamaana wamejiongezea du napiga hesabu tu kwa haraka haraka..
Wabunge wapo 393..

So kwa mwezi ni 393x18 Mil = 7,074,000,000

Bilion 7
Kwahiyo kwa Mwezi Taifa linatoa Tsh bilion 7 na milion 74 kulipa wabunge...

Ambayo ni sawa na Tsh 84,888,000,000 Kwa mwaka..
Yaani serkali inapoteza Tsh Bilion 84 na Milion 888 kwa ajili ya kulipa.watu wanaokaa na kusifia
Ingekuwa uongo hii habari lazima Mbowe angeitwa kwenye kamata ya maadili lazima ….
 
Wabunge wanafanya kazi kubwa sana ya kumsifia Samia. Uchawa ni kazi ngumu sana inayohitaji kujitoa ufahamu,hivyo kwa kazi hii ya uchawa wanayofanya wabunge napendekeza walipwe milioni 50.
 
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


View attachment 2942304
Yaani mpaka mbowe aongee hivyo mnadhani amekurupuka?
 
Hata kama ni milioni kumi na tatu jumla na marupurupu ni fedha nyingi mnoooo mnooo!Kwa kazi gani hasa wanayoifanya?Nchi ya ajabu mnooo.Kuna watu tukiwaangalia mule bungeni hawapaswi kuwemo.Kwa mfano yule na huyu na hata wale(...?) ingawa tunaita ni haki na demokrasia bila ubaguzi.
Na vikao vyenyewe vya msimu tu
 
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


View attachment 2942304
Sasa kukanusha bila kusema unalipa ngapi unakua unakanusha Nini?
 
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


View attachment 2942304
Hivi Hawa manguruwe yanakataa nini na kukubali nini
 
Back
Top Bottom