TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,917
- 11,315
Tatizo no umasikini tuKumbe waheshimiwa wetu wanapewa mishahara kidogo hivyo mil13 ni ndogo sana ukilinganisha na majumu mazito wanayoyafanya kwaajili yetu.Waongeze angalau mil 29 Kwa mwezi ili kuendana na maisha ya sasa.Mishahara Yao ikiwa midogo hata utendaji kazi unapungua.Waheshimiwa kwanza sisi baadae.
Kama tungeacha kuwaomba pesa mtaani, 5m ingetosha
Nawaza tu, baba ndubwi anajisikiaje kuongopa ?