Ina maana KASHILILAH ULINUKULIWA VIBAYA?
| ||
|
Lakini ukiisoma vema hiyo statement yao bado kuna mtego. Watakachokuwa wanafanya ni wao wenyewe Bunge kupiga picha na kurekodi sauti na kisha kuwapa waandishi link ya kurusha watakavyo. Trick ipo hapo kwenye kupiga p[icha na kurekodi, tuna uhakika gani watapiga picha zile ambazo watu watataka kuziona? Si ajabu Chadema watakapoamua kusimama tena kushinikiza hoja zao hatutaziona picha hizo, au Tundu Lissu atakapokuwa anampa Spika vidonge kwa kusigina kanuni, tunaweza tusiwekewe hiyo sauti