Tujikumbushe Naibu Spika akiwashukia waandishi wa habari kwa kuwabeba 'wapinzani':
Published on 24 Aug 2012Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai akifungua warsha ya waandishi wa habari za Bunge mjini Dodoma na kuwashukia waandishi wa habari, twitter, mitandao ya jamii kuwabeba wabunge 'wapinzani' na pia kugusia 'mabadiliko ya kanuni' za Bunge, Pia anasifia kupigiwa simu na wapiga kura/wananchi kupewa mrejesho walete hoja ya kuzuia kurusha Bunge 'live' au 'matusi toka kwa wananchi kwa njia ya simu !?? endelea kusikia maneno ya Naibu Spika
!?! Sasa ni kipi kimebadilika mpaka
video kwa hisani ya absalom kibanda wa youtube
Published on 24 Aug 2012Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai akifungua warsha ya waandishi wa habari za Bunge mjini Dodoma na kuwashukia waandishi wa habari, twitter, mitandao ya jamii kuwabeba wabunge 'wapinzani' na pia kugusia 'mabadiliko ya kanuni' za Bunge, Pia anasifia kupigiwa simu na wapiga kura/wananchi kupewa mrejesho walete hoja ya kuzuia kurusha Bunge 'live' au 'matusi toka kwa wananchi kwa njia ya simu !?? endelea kusikia maneno ya Naibu Spika
!?! Sasa ni kipi kimebadilika mpaka
video kwa hisani ya absalom kibanda wa youtube
Last edited by a moderator: