Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Kiongozi wa upinzani bungeni ameunga unga hadi certificate za Udijei, kazi ipo kwa huyo msomi liturjia aliyebobea kuiba wake wa watu.
Jamiiforums inapoteza maana kabisa
Kiongozi wa upinzani bungeni ameunga unga hadi certificate za Udijei, kazi ipo kwa huyo msomi liturjia aliyebobea kuiba wake wa watu.
Itakuwa poa maana hata Slaa na elimu yake ya upolikapu ataishia kulea watoto wa vijana wa mjini kama anavyofanya sasa.
Jamiiforums inapoteza maana kabisa
Itakuwa na maana siku ikiacha kuwalea wapuuzi wa CDM.
Dhaifu!!
The most pathetic president of a country rich in natural resources!
UNAWASHWA ee?
Politics sidhani kama ina demand na higher education, kwa maono yangu nadhani elimu ya kati inakidhi katika tasnia hii, sababu personal skills inahusika sana kwa politician, tumeshaona wasomi wabobezi wakishindwa kufikisha ama kuwasilisha ipasavyo yale waliohitajika kuyafikisha.
Na wale wenye elimu ya kati wakawa wawakilishi wazuri.
sasa ndugu yangu Lusinde ,komba ,viki kamata etal inakuwaje? hahaaaa sheria safi sana hii..bungeni wanapaswa kwenda watu wenye upeo sio akina profesa maji marefu..bi kiroboto miaka nenda rudi yuko serikalini kumbe ana diploma ya miaka hiyo ya IDM Mzumbe....