FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Nzuri sana hii
lakini peleka habari hii jukwaa la kenya
Ushauri mzuri lakini nilitaka watu wajadili kuona kama na suala hili linaweza kuwa replicated Tanzania.
Nzuri sana hii
lakini peleka habari hii jukwaa la kenya
And yet CDM+Catholic church couldn't stop him from land mass winning his second term. SHAME
Taarifa ya habari ya Kbc imesema hoja binafsi imewasilishwa bungen ikitaka sifa za mtu kuwa mbunge awe ni degree holder na hoja hii itajadiliwa wiki ijayo,kama ikipita wabunge wenye sec certificate hawataruhusiwa kugombea kwenye uchaguz ujao.WA TZ KATIBA INAKUJA HII NI POINT YA MCNG
Wananiita SUGU.