Bunge la Katiba limepoteza mvuto

el nino

JF-Expert Member
Nov 5, 2013
4,712
5,033
Hamna kitu kibaya kama wanachi kupoteza imani tena kwny masuala muhimu ya kitaifa kama mchakato wa katiba,
Miezi kadhaa kidogo wananchi walianza kufuatilia mchakato wa upatikanaji wa katiba pia hata muitikio wao pamoja na vyombo vya habari ulikuwa mkubwa...

hivi sasa watu kibao wameshalipotezea Bunge la katiba kwa maamuzi yake ya kufanya mambo ya ajabu kama kukusanya maoni tena, kufuta kabisa baadhi ya vitu kwnye rasimu, hakika hizi hasira za wananchi zitawarudia kwny uchaguzi mkuu maana hizi pesa zinachezewa burebure tuu hebu tusuburie majibu ya kwnye refferendum
 
''Mvuto'' ndiyo nini kwenye suala la kitaifa linalohusu maisha ya wananchi.

Katiba siyo mapambo ambayo yanakuvutia uyaangalie au kuyanunua lakini kikubwa zaidi, hii dhana ya kusema ''watu kibao na kupoteza imani'' haina mantiki yoyote kwenye fikra pana kwa sababu hakuna research yoyote iliyofanyika katika kufikia hitimisho unalotaka kutuaminisha.
 
Mleta mada uko sahihi kabisa ni kweli bunge la katiba limepoteza mvuto kabisa na yote nikutokana na minguvu ya ccm inayotumika bila akili wala uelewa wa kusoma mazingira na nyakati,wao wanajisifia kuwa bunge linaedelea vzr ila sisi tunasubiri kwenye 2/3 kama ikipatikana hyo bs tutakutana kwenye kura ya maoni
 
''Mvuto'' ndiyo nini kwenye suala la kitaifa linalohusu maisha ya wananchi.

Katiba siyo mapambo ambayo yanakuvutia uyaangalie au kuyanunua lakini kikubwa zaidi, hii dhana ya kusema ''watu kibao na kupoteza imani'' haina mantiki yoyote kwenye fikra pana kwa sababu hakuna research yoyote iliyofanyika katika kufikia hitimisho unalotaka kutuaminisha.

ImageUploadedByJamiiForums1409863010.572297.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
''Mvuto'' ndiyo nini kwenye suala la kitaifa linalohusu maisha ya wananchi.

Katiba siyo mapambo ambayo yanakuvutia uyaangalie au kuyanunua lakini kikubwa zaidi, hii dhana ya kusema ''watu kibao na kupoteza imani'' haina mantiki yoyote kwenye fikra pana kwa sababu hakuna research yoyote iliyofanyika katika kufikia hitimisho unalotaka kutuaminisha.

Problems cannot solved by the same level of things that created them, maccm guy your tired.
 
Tume ya Jaji Warioba haikutoa Katiba bali ilitoa Rasimu ya Katiba au kwa lugha nyingine inaitwa waraka wa Katiba.

Kama Tume ya Jaji Warioba ilitoa Katiba, unadhani kungekuwa na umuhimu wa kuwepo kwa Bunge la Katiba kabla ya wananchi hawajapiga kura ya Maoni.

Watu kama wewe niwa kuhurumiwa kihoja kwa sababu siyo kosa lenu, bali mmelishwa maneno ya kisiasa na mkameza bila kuhoji mantiki yake.
 
MWANADIWANI nakukubali jinsi unavyojitolea(ga) kujibu hoja mufilisi za walevi wa ufida wenye mahaba mazito na wale viongozi wao wahuniwahuni. Bravo.
 
Tume ya Jaji Warioba haikutoa Katiba bali ilitoa Rasimu ya Katiba au kwa lugha nyingine inaitwa waraka wa Katiba.

Kama Tume ya Jaji Warioba ilitoa Katiba, unadhani kungekuwa na umuhimu wa kuwepo kwa Bunge la Katiba kabla ya wananchi hawajapiga kura ya Maoni.

Watu kama wewe niwa kuhurumiwa kihoja kwa sababu siyo kosa lenu, bali mmelishwa maneno ya kisiasa na mkameza bila kuhoji mantiki yake.
Ubongo wa kuku hauna uwezo wa kufikiria mambo makubwa kama haya.wewe ni wakukuhurumia sio kosa lako ni aina ya ubongo ulionao.
 
Ubongo wa kuku hauna uwezo wa kufikiria mambo makubwa kama haya.wewe ni wakukuhurumia sio kosa lako ni aina ya ubongo ulionao.
The whole problem with Tanzania is that fools, stupid and political fanatics are always so certain of themselves, and wiser people so full of doubts! Are you the one?
 
The whole problem with Tanzania is that fools, stupid and political fanatics are always so certain of themselves, and wiser people so full of doubts! Are you the one?
Uzuri wa Tanzania, ni upole wa wananchi wake na viongozi wanalijua hilo na wanacapitalize katika hilo. WANANCHI WaMEDHARAULIKA SANA
 
hapa ndo nilikuwa na tafuta watu wenye thinking capacity ndogo kama ww, kwa hyo maana ya rasimu ni nn?kama rasimu haikuwa na umuhimu kulikuwa kuna ulazima au umihimu gani wa tume kuundwa kwannn lisingeundwa bunge la katiba directly....hatujapewamkicha ili tufuge nywele
 
''Mvuto'' ndiyo nini kwenye suala la kitaifa linalohusu maisha ya wananchi.

Katiba siyo mapambo ambayo yanakuvutia uyaangalie au kuyanunua lakini kikubwa zaidi, hii dhana ya kusema ''watu kibao na kupoteza imani'' haina mantiki yoyote kwenye fikra pana kwa sababu hakuna research yoyote iliyofanyika katika kufikia hitimisho unalotaka kutuaminisha.

Kwani wewe usichokielewa hapo ni nini? wewe ndiyo hatukuelewa! jama mbona katoa maelezoyake vizuri tu na ameeleweka wewe tu ndo huja muelewa!
 
Mwana diwani,kama rasimu ya warioba ina mapungufu wakuikataa ni sisi wananchi sio bmk.
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe usichokielewa hapo ni nini? wewe ndiyo hatukuelewa! jama mbona katoa maelezoyake vizuri tu na ameeleweka wewe tu ndo huja muelewa!
unafikiri hajaelewa au anafnya makusudi
 
Kwani wewe usichokielewa hapo ni nini? wewe ndiyo hatukuelewa! jama mbona katoa maelezoyake vizuri tu na ameeleweka wewe tu ndo huja muelewa!
akili zako zinakudanganya research mpaka nije kukutembelea ww, hata sampling ni form of research angalia kwenye huu uzi wangapi wamekubaliana na mawazo yangu utajua Bunge la katiba limepoteza mvuto kwa kiasi gani
 
Mwana diwani,kama rasimu ya warioba ina mapungufu wakuikataa ni sisi wananchi sio bmk.
Ndugu,
Wananchi hawatapiga kuikubali au kuikataa rasimu ya Katiba. Wananchi watapiga kura kuikubali au kuikataa Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba.

Kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikuwa ni kuandaa Rasimu ya Katiba.

Kazi ya Bunge Maalum la Katiba ni kuandaa na kutunga Katiba.
 
Ndugu,

Kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikuwa ni kuandaa Rasimu ya Katiba.

Kazi ya Bunge Maalum la Katiba ni kuandaa na kutunga Katiba.

Du...ikiwa kazi ya BMK ni kuandaa na kutunga katiba....tume ya Rais ya kuandaa katiba iliyotoa rasimu inafit wapi hapo?
 
Ndugu,
Wananchi hawatapiga kuikubali au kuikataa rasimu ya Katiba. Wananchi watapiga kura kuikubali au kuikataa Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba.

Kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikuwa ni kuandaa Rasimu ya Katiba.

Kazi ya Bunge Maalum la Katiba ni kuandaa na kutunga Katiba.

Mwanzon kabisa mwa vuguvugu la kudai kuandikwa kwa katiba mpya CCM walisema katiba iliyopo inatosha. Ifanyiwe marekebisho tu. Lakini baadae Mwenyekiti wa chama( mh Rais) alipokubali walewale waliopinga, kwa unafiki wanageuka na kujidai eti wanataka katiba mpya. Hapa tukaona hawa wahafidhina licha tu ya unafiki, pia ni fuata upepo.

Mara baada ya Jaji Warioba kuwasilisha ripoti mh. Rais( mwenyekiti) alikosoa mambo mengi yaliyomo kwenye RasimuII, huku meza zikigongwa kwa furaha na washabiki.

Kama kawaida style ile ile ya fuata upepo yale yale yaliyokosolewa na mwenyekiti ndo hayo hayo yanayopingwa na kamati, haijalishi hata wale wenye Phd ambao kimsingi walitakiwa wawe great thinkers unaangalia maoni yao hadi unastaajabu! Mawazo mgando utadhani mwanafunz wa darasa la 5!
 
Back
Top Bottom