johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
UKAWA walisusia Bunge la Katiba 2014 wakiwa wameshatia mfukoni kodi za Walalahoi wa nchi
Swali ni: Kama Katiba Mpya haiwezekani hadi Wananchi wote waelimishwe ilikuwaje UKAWA na ile Tume ya Warioba wakalipwa maposho kibao?
Heri Shujaa Magufuli alijisemea Katiba Mpya siyo kipaumbele chake 😁😁
Msema kweli mpenzi wa Mungu!
Swali ni: Kama Katiba Mpya haiwezekani hadi Wananchi wote waelimishwe ilikuwaje UKAWA na ile Tume ya Warioba wakalipwa maposho kibao?
Heri Shujaa Magufuli alijisemea Katiba Mpya siyo kipaumbele chake 😁😁
Msema kweli mpenzi wa Mungu!