Bunge la jamii forum linarejea

Mh. Spika naomba muongozo wako naona kuna mtu amemwaga unga humu bungeni hii ni hatari kwa maisha yetu hasa sisi wabunge. Mheshimiwa naomba mwongozo wako
 
mimi ni mbunge mpya,nawakilisha jimbo la "MILIPUKO"muheshimiwa spika naomba"KUWAKILISHA"
 
Mimi ni wazir wa jinsia na totoz, nawaklsha mswada wa serkar juu ya kupunguzwa bei za vyumba kwenye nyumba za wagen........
Nawasilisha.....
 
Teh spika kalala. mawaziri hawapo bungeni. cha ajabu maswali bado mnaendeleza.
 
Muheshimiwa spika naomba kuuliza swali moja lenye vipengere "A"B" na C" kama ifuatavyo.
A"jee bunge lako linatoa kauli gani kwa hawa wachangia mada wenye maneno makari?
B"ni utaratibu gani unaotumika kwa wana JF kukutana na kupanga mikakati ya kupambana na umasikini hasa vijijini?
C"jee serikari inafanya juhudi gani kulinusuru taifa na janga kubwa la njaa,ukizingatia kwamba kuna wingu lilikua limetanda hapa dar kama dk 20zilizopita lakini sasa limesambaa na kuzidi kutishia amani kwa ukame?
 
Muheshimiwa spika naomba kuuliza swali moja lenye vipengere "A"B" na C" kama ifuatavyo.
A"jee bunge lako linatoa kauli gani kwa hawa wachangia mada wenye maneno makari?
B"ni utaratibu gani unaotumika kwa wana JF kukutana na kupanga mikakati ya kupambana na umasikini hasa vijijini?
C"jee serikari inafanya juhudi gani kulinusuru taifa na janga kubwa la njaa,ukizingatia kwamba kuna wingu lilikua limetanda hapa dar kama dk 20zilizopita lakini sasa limesambaa na kuzidi kutishia amani kwa ukame?

kwa niaba ya waziri muhusika naomba nijibu kipngele c kuhusu njaa na wingu .

kukabiliana na njaa serikali inajenga viwanja vya ndege vya kmataifa mikoa nyanda za juu kusikini yenyechakula kingi . Viwanja hivi vitasaidia kusafirisha chakula kwa haraka kuliko barabara kwenda kwenye mikoa ya njaa.

Kuhusu wingu zito la dar naona hali hii itabidi tuagize rada nyingine ya kisasa itayoweza kuhabarisha habari za maingu .Hivi sasa wataaalma wa hali ya hewa bado wanatafuta majibu.
 
kwa niaba ya waziri muhusika naomba nijibu kipngele c kuhusu njaa na wingu .

kukabiliana na njaa serikali inajenga viwanja vya ndege vya kmataifa mikoa nyanda za juu kusikini yenyechakula kingi . Viwanja hivi vitasaidia kusafirisha chakula kwa haraka kuliko barabara kwenda kwenye mikoa ya njaa.

Kuhusu wingu zito la dar naona hali hii itabidi tuagize rada nyingine ya kisasa itayoweza kuhabarisha habari za maingu .Hivi sasa wataaalma wa hali ya hewa bado wanatafuta majibu.
Teh teh teh!
 
nashuru Muheshimiwa spika kwa kunipa majibu mazuri sana na yenye moyo wa huruma kwa wananchi wa jimbo langu ambao kipato chao ni chini ya shillings 400 kwa siku,
Jee kutokana na majibu yake mazuri sasa jee ni lini mpango huu wa rada ya kucheki hali ya hewa utaagizwa?
 
nashuru Muheshimiwa spika kwa kunipa majibu mazuri sana na yenye moyo wa huruma kwa wananchi wa jimbo langu ambao kipato chao ni chini ya shillings 400 kwa siku,
Jee kutokana na majibu yake mazuri sasa jee ni lini mpango huu wa rada ya kucheki hali ya hewa utaagizwa?

Mheshiwa naibu,majibu!
 
kwa niaba ya waziri muhusika naomba nijibu kipngele c kuhusu njaa na wingu .

kukabiliana na njaa serikali inajenga viwanja vya ndege vya kmataifa mikoa nyanda za juu kusikini yenyechakula kingi . Viwanja hivi vitasaidia kusafirisha chakula kwa haraka kuliko barabara kwenda kwenye mikoa ya njaa.

Kuhusu wingu zito la dar naona hali hii itabidi tuagize rada nyingine ya kisasa itayoweza kuhabarisha habari za maingu .Hivi sasa wataaalma wa hali ya hewa bado wanatafuta majibu.
Hahahahaaaa!
 
Loh! hili bunge limenikamata haswa, nimeshidwa kuzima TV iliniendelee na shughuli nyingine......bado nafuatilia kikao hiki cha Bunge la Jamii kwa umakini mkubwa
 
loh! Hili bunge limenikamata haswa, nimeshidwa kuzima tv iliniendelee na shughuli nyingine......bado nafuatilia kikao hiki cha bunge la jamii kwa umakini mkubwa

muheshimiwa spika,kwa niaba ya waziri husika,napenda kujibu swali dogo la nyongeza la muheshimiwa dudu jeusi kama ifuatavyo.
Namuomba muheshimiwa dudu jeusi awe mvumilivu,maana bado tunatafuta muwekezaji na tayari tumepata na tunafanya mazungumzo na co 1 toka nchini uswis,ambayo iko tayari kuwekeza kwenye hilo,
bado tunajadiri mapendekezo na masharti yake ili tuweze kuliweka wazi suala hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom