Bunge la jamii forum linarejea

muheshimiwa spika,kwa niaba ya waziri husika,napenda kujibu swali dogo la nyongeza la muheshimiwa dudu jeusi kama ifuatavyo.
Namuomba muheshimiwa dudu jeusi awe mvumilivu,maana bado tunatafuta muwekezaji na tayari tumepata na tunafanya mazungumzo na co 1 toka nchini uswis,ambayo iko tayari kuwekeza kwenye hilo,
bado tunajadiri mapendekezo na masharti yake ili tuweze kuliweka wazi suala hilo.

Muheshimiwa DUDU JEUSI swali la mwisho dogo la nyongeza.
 
anataka tumpe mlima kilimanjaro,masharti mengine anasema tuubebe bila kuukatakata na tuupeleke kwao.
Then atatupa kila tukitakacho ili kuinusuru nchi.
 
Mh.spika hv hili bunge lako lina waziri wa education?
Kama yupo naomba anijibu..
Kutokana na uchumi wa Tz kupepesuka na kutokana na shule za kata a.k.a st.wanakijiji kuongoza kwa kufelisha,bac nibora xuck hizo zifungwe na majengo 2fugie kuku.
Nackia soko la nyama ya kuku linafaida sana huko Europe hili litasaidia kuhimarisha uchum wa taifa letu.
From unkown jimbo.
 
Muda wa mapumziko bado? Shhhhhh..... Mh mandieta naomba hicho kikaratasi mpatie huyo mhudumu ampelekee Mh Spika... Nimepata tumbo la kuhara ghafla...

Asante nashukuru... Na naomba wewe au Mh Gabmanu aniulizie swali langu namba 621.. Mi nitawafuatilia kupitia luninga ya pale baa,maana tumbo hili dawa yake naijua...ni Kiroba!
 
Samahan Mh.Gambachovu we usiende mbal dawa yako hata m naijua!
Labda nimwombe mh.spika akubadilishie hicho ki2 cha kuzunguka maana kinapindisha mgongo had kupelekea maumivu ya tumbo bac yeye atafanya utaratibu wa kuleta kit speacial from bar labda kile kitakusaidia kidogo,kwan bado tunahaja na majibu yako.
From unkown jimbo.
 
Samahan Mh.Gambachovu we usiende mbal dawa yako hata m naijua!
Labda nimwombe mh.spika akubadilishie hicho ki2 cha kuzunguka maana kinapindisha mgongo had kupelekea maumivu ya tumbo bac yeye atafanya utaratibu wa kuleta kit speacial from bar labda kile kitakusaidia kidogo,kwan bado tunahaja na majibu yako.
From unkown jimbo.

Mh Gabmanu..
Hali yangu mbaya... Au kuna unga wamepulizia mic yangu.... Nahisi nazimia mh Gabmanu...
 
Mh Gabmanu..
Hali yangu mbaya... Au kuna unga wamepulizia mic yangu.... Nahisi nazimia mh Gabmanu...

Jikaze mbona wakat wa kuomba wakupigie kura ulikuwa huna huo ugonjwa.
Fanjia kaz bac km w ndo muhusika wa lile nililouliza. Kuhusu huo ugonjwa wako labda spika kashakusikia na nimepewa habar kuwa Ambulance toka kiwanda cha beer lipo hapo getin likipakua dose.
 
nilikua naongea na muheshima rais.
Baada ya dk chache ntatanga tume ya kuchunguza why mh gambachovu kapati maradhi ya gafla.
 
Mheshimiwa Spika nikiwa kama Waziri wa "Michango ya rambira na sherehe mbalimbali" nina swali moja la msingi; Kwakua JF ni jamii flani ya watu waloamua kujiunga kama jumuiya kwa sababu mbalimbali na kwakua nasi ni jamii kama zilivyo jamii zingine ulimwenguni kote swali langu ni kwamba; Je mheshimiwa Spika kupitia Bunge lako tukufu hamuoni kama kupitia Wizara yangu kuna umuhimu wa kuanzisha mfuko maalum utakao kuwa chini ya wizara yangu utakao husika na Rambirambi pamoja na michango mbalimbali?
 
Mheshimiwa Spika nikiwa kama Waziri wa "Michango ya rambira na sherehe mbalimbali" nina swali moja la msingi; Kwakua JF ni jamii flani ya watu waloamua kujiunga kama jumuiya kwa sababu mbalimbali na kwakua nasi ni jamii kama zilivyo jamii zingine ulimwenguni kote swali langu ni kwamba; Je mheshimiwa Spika kupitia Bunge lako tukufu hamuoni kama kupitia Wizara yangu kuna umuhimu wa kuanzisha mfuko maalum utakao kuwa chini ya wizara yangu utakao husika na Rambirambi pamoja na michango mbalimbali?
Muheshimiwa pinokyo jujumani tunashukuru kwa wazo zuri,sasa namuita muheshimiwa mendieta kwa majibu zaidi,
 
Mh spika,napenda kujibu swali la Muheshimiwa jujuman kama ifuatavyo.
Ni kweli kabisa wana jf wanapenda kuwa na mfuko wa aina hiyo,lakini bado serikari haina pesa ya kuwapeleka wa weka hazina wa wizara husika kupata vipimo maalumu kujua kama ni waadirifu au lah.
Maana huu wimbo wa ufisadi hata bata sasa wanauimba na hakuna kuaminiana tena.
 
naona muda umetutupa mkono,lakini kabla ya kufunga bunge kuna matangazo machache.
Tangazo la kwa ni kua mh gambachovu ataondoka usiku huu kuelekea germany kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.
Tangazo la pili ni kuhusu hoja zitakazo anza kesho asubuhi,ambazo ni nini tufanye ili kupambana na ugumu wa maisha,maana hata fungu la tembele sasa juu.ubwabwa ndio hivyo tena mpaka hitma.
 
Back
Top Bottom