Inaonekana issue itajadiliwa jioni maana this morning ''Mtoto wa Mkulima'' anakutana na ma Dr huko DSM.
Ila kuliita Bunge la TZ eti ni tukufu naona ni kuwadhihaki Watanzania
Hata wakipiga kelele vipi hao wabunge mwisho wa siku wenye maamuzi ni serikali,acha pinda aendelee na mazungumzo na hao madaktari kwanza,porojo za wabunge tulishazizoea,hawana jipya wanaongea lakini jambo halifiki mwisho.