Ni kibaraka wa Lipumba!! Ukifuatilia sana tangu Lipumba ajiuzulu mwaka jana huyu mama alijitenga sana na kampeni za UKAWA!!
Anatoka mkoa mmoja na Lipumba (TABORA)
Kama vitu hujui wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kujifanya unajua wakati hujui kitu kuhusu masuala ya bunge.Baada ya Spika kuandikiwa barua na CUF ndo ubunge wake utakuwa umefikia mwisho jimbo litakuwa wazi
lipumba kajitakia mwenyewe.nikikumbuka pindi lipumba mwaka jana akikimbia chama na kwenda kigali kwa kagame kula shavu sina hamu naye kamwe....hongereni cuf.Jamani, ina maana huu mzee alivunjwa mkono bure!
Mbona umepaniki sana.Mbowe ndo muasisi wa huu mgogoro, alivyotiwa pesa akamrubuni seif wampokee fisadi Lowasa na Lipumba akapinga kwa vitendo ndo mgogoro ulipoanzia. Mbowe ameua upinzani Tanzania
Hata nyie CCM hizi habari njema kwenuChadema mnafurahi sana
Sasa atajiunga na CCM, na utaona atakavyoteuliwa kushika wadhifa muhimu.lipumba kajitakia mwenyewe.nikikumbuka pindi lipumba mwaka jana akikimbia chama na kwenda kigali kwa kagame kula shavu sina hamu naye kamwe....hongereni cuf.
Arudi huko CCM akapambane wampe chake mipango yake imeshafeliAhhh Lipumba aliishiwa hela aliyohongwa kabla ya Uchaguziii ahhh
Mhh mbn huyo nasikia kibisa?Koloni LA lipumba pia
Hizi habari sana kwenu najua huko lumumba vipi hali ipoje?Kama vitu hujui wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kujifanya unajua wakati hujui kitu kuhusu masuala ya bunge.
Kumekucha tena msaliti amefukuzwa uanachama Ccm ntaunga mkono uamuzi huuTeh teh teh!! Maalim Seif yupo kama Mbowe na Chadema ukijaribu kumgusa tu utaondoka wewe.
anajosa== ana kosaSakaya anajosa gan?
Huu mchezo hautaji hasiraCuf hawajijui tu lakini wenzao chadema wanania ya kukiua kabisa,wanagombanishwa na kufitinishwa kwa manufaa ya mtu Fulani tu lkn hawajijui,poleni cuf kwa kuvamia ngoma isiyokuhusu
Mambo ya CUF mimi yananihusu nini.Kumekucha tena msaliti amefukuzwa uanachama Ccm ntaunga mkono uamuzi huu