STimira
Senior Member
- Feb 14, 2012
- 133
- 23
Kwa kweli kauli ya Bulembo imeusikitisha Umma wa Wapenda Amani! How come mtu na akili zako utamke maneno kama yale tena kwa kuweka msisitizo namna ile? Tusimpuuze jamani ile kauli huenda akawa amepandikizwa kutoka mamlaka zake! Atajilaumu sana kama wanalolitaka halitakuwa. Najiuliza tu itakuwaje kama wapiga kura watadai haki yao kwa nguvu endapo watagundua kuwa kuna goli la mkono ?