Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Heko heko watanzania serikali yenu itakuwa imewasikiliza vya watu wengi budget ya neema ndo imewadia wafanyakazi walimu kupata unafuu wa maisha, kodi kushuka kwa 6% katika mafuta hapa kila mtu atanufaika
Pongezi kwa mkullo
Pongezi kwa mkullo