aladin news
Member
- Aug 11, 2013
- 67
- 2
Wana jf wenye experience,au knowledge juu ya hii course naomba information zaidi juu ya ajira yake...na course kwa ujumla
courz nzur,ajira pia ngumu ila ukibahatisha private ina ela ya kutosha na mafield ya pesa ya ukwel,serikalin ela ya kawaida sana na kwa sasa inatolewa mzumbe na udom