yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
nimepata habari yamotooo tena sasa hivi Nikiwa hapa gereza la ukonga,nikitumikia kifungo cha miaka 11 tangu mwaka jana,ni kwamba msanii Steven Kanumba amefariki dunia! ,bado sijajua sabb ya kifo chake na muda aliokufa,maana Afande aliyenidokeza alikuwa yupo bize,na alikuwa hataki maswali mengi