BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Habari zilizotufikia hivi punde mbuyu twttite mchezaji wa yanga na best wa simba wametua mjini kilimanjaro wakisubiri dk 30 kuelekea
dar es salaam.
Wana yanga wote tunawaomba mjitokeze kwenye mapokezi
ndege itatua saa 0415pm saa afrika ya mashariki tutakuwa tukiwapa update jinsi inavyotua na mpaka atakaposhuka
karibu m.twttie tuna matumaini rb iko karibu kama mlivyoendelea kubwabwaja kwenye redio
dar es salaam.
Wana yanga wote tunawaomba mjitokeze kwenye mapokezi
ndege itatua saa 0415pm saa afrika ya mashariki tutakuwa tukiwapa update jinsi inavyotua na mpaka atakaposhuka
karibu m.twttie tuna matumaini rb iko karibu kama mlivyoendelea kubwabwaja kwenye redio