Habari zilizotufikia hivi punde mbuyu twttite mchezaji wa yanga
na best wa simba wametua mjini kilimanjaro wakisubiri dk 30 kuelekea
dar es salaam ,,,wana yanga wote tunawaomba mjitokeze kwenye mapokezi
ndege itatua saa 0415pm saa afrika ya mashariki tutakuwa tukiwapa update jinsi inavyotua na mpaka atakaposhuka
karibu m.twttie tuna matumaini rb iko karibu kama mlivyoendelea kubwabwaja kwenye redio
Walewale mnaopiga KURA za kuchagua Viongozi kwa kupewa Doti moja ya Kanga na mche wa sabuni. Halafu kutwa kutupigia kelele kwamba mnaonewa.wivu unaendelea kufanya kazi
were two options RB ama Arudishe Dollar34,000/ itakuwa karudisha kama bado RB haina exp date jombaaaaaaaaKATUA bONGO RB IKO WAPI MPWA???
Walewale mnaopiga KURA za kuchagua Viongozi kwa kupewa Doti moja ya Kanga na mche wa sabuni. Halafu kutwa kutupigia kelele kwamba mnaonewa.
Soma signature yangu itakupa jibu. Unajua kula bata wewe!?pelekeni siasa zenu uko. Mda wa siasa ni siasa muda wa kula bata tule bata,.
We ni Simba?twitter wenu keshatua yule nampa tu mechi mbili anaisha