Brazil to play Tanzania in a friendly

Tatizo wabongo tutakamia sana mechi wakati wenzetu wanafanya mazoezi, kama namuona Nsajigwa vile atakavyotaka sifa siku hiyo
 
KWA MWENDO HUU WIZI NA UFISADI VITAISHA?
Consider this:
Kima cha chini cha mshahara ni 150,000/=
ticket ya mpira 200,000/=
Si ni kishawishi hiki?
ama kweli OPPORTUNITY ( AND TEMPTATION) MAKES THE THIEF!
 
Tafakari kima cha chini cha mshahara sh 104000 hapo akitazama hiyo mechi utaishije?
 
hiyo mechi ni ya wenye hela wanaokaa kwenye viti kimyaaa bila hata kushangilia taifa stars oyeeee taifa stars oyeeeee, wanaojua kushangilia wanashindwa kununua ticket maisha magumu...kweli mwenye meno ndo huwa anafaidi nyama ya mfupa....
 
Bora hata asicheze manake kina fuso wanavyokamia, wasije mkosesha mechi mechi muhimu kule bondeni!
 
KWA MWENDO HUU WIZI NA UFISADI VITAISHA?
Consider this:
Kima cha chini cha mshahara ni 150,000/=
ticket ya mpira 200,000/=
Si ni kishawishi hiki?
ama kweli OPPORTUNITY ( AND TEMPTATION) MAKES THE THIEF![/QU

kwani wote wanaoingia uwanjani ni KCC tu??
 
KWA MWENDO HUU WIZI NA UFISADI VITAISHA?
Consider this:
Kima cha chini cha mshahara ni 150,000/=
ticket ya mpira 200,000/=
Si ni kishawishi hiki?
ama kweli OPPORTUNITY ( AND TEMPTATION) MAKES THE THIEF!


kwa mujibu wa mleta mada kiingilio cha chini ni 30,000/- na juu ni 200,000/- kwahio hao wa 150,000/- kwa mwezi kama ni LAZIMA waone hii mechi uwanjani wacha wajikamue hio 30,000/-.
 
Halafu kuna genius wa bongo anasimama na kuwaambia Watanzania kuwa "hawana uwezo wa kuwalipa wafanyakazi kima cha juu"; genius huyo huyo akibanwa anatamuambia "nchi yetu maskini" hivi huu umaskini uko vitabuni tu?
 
hata wangeweka kiingilio laki tatu viti vyote, sidhani kama iyo hela itarudi..tumeliwa..bilion sita tz kwa mchezo wa siku moja? nani atatuona kwa siku moja, si kama tunataka kujitangaza tungetumia iyo billion sita kurusha hata matangazo CNN tu jamani? kuliko siku iyo moja tu ndo imetoka au kama tuna uchungu na kuojulikana nchi za nje kama wengine wanavyosema tunataka kujiuza sijui kujitangaza, si wangeenza kukodi vitv vidogovidogo huko ulaya hata kumi vituonyeshe hadi vichoke kwa hela hiyo mbona inatosha, ina uma sana.
 
hata wangeweka kiingilio laki tatu viti vyote, sidhani kama iyo hela itarudi..tumeliwa..bilion sita tz kwa mchezo wa siku moja? nani atatuona kwa siku moja, si kama tunataka kujitangaza tungetumia iyo billion sita kurusha hata matangazo CNN tu jamani? kuliko siku iyo moja tu ndo imetoka au kama tuna uchungu na kuojulikana nchi za nje kama wengine wanavyosema tunataka kujiuza sijui kujitangaza, si wangeenza kukodi vitv vidogovidogo huko ulaya hata kumi vituonyeshe hadi vichoke kwa hela hiyo mbona inatosha, ina uma sana.

Mkuu hiyo bilioni sita ni kweli na una uhakika? Mbona hawa wenzetu imekuwa bei nafuu i.e far less than $1.5Mn???????? Well cha kushangaza hata wao hawataji hiyo gharama, Africa bana yaani pesa ya walipa kodi ni siri ya serikali??????????/. Anywayz all in all hii lazima ina link na 2010 election politicking!!!!!!!!!!!

Brazil To Face Zimbabwe On Wednesday - Report

Coach Dunga and his World Cup squad flew into South Africa yesterday morning ahead of the tournament next month.

By M. J. Somoni

Zimbabwe's Warriors will face world football heavyweights Brazil at the National Sports Stadium next Wednesday.
In a report posted by the Herald, the Zimbabwe Football Association chief executive Henrietta Rushwaya and Paul Leisegans, a representative of Kentaro, Brazil's sports agent, officially signed the contract that will take the Samba Boys to Harare for Wednesday's clash.
Zimbabwe minister for tourism and hospitality, Walter Mzembi, said Brazil's visit was a fulfillment of the objectives and tasks that cabinet had given his ministry, which included bringing at least one of the 32 World Cup teams to the country.

"It's now confirmed that Brazil will play Zimbabwe on June 2 in Harare.
"It's the fulfillment of objective number one, which was the luring of teams to come and play in Zimbabwe. The other objective was to increase the number of tourist arrivals in the country before and after the World Cup.

"Through our partnership with NetOne [mobile phone operator], we will also have fan parks with NetOne funding 16 public viewing points - eight each in rural and urban areas - but the aim is to have the fan park project spread to all the 73 districts.

"Luring teams has been a tall order from the time we travelled to Brazil, but as I have said before, if you lure Brazil you have lured the rest of the world.

The minister and Mr Leisegans insisted the costs of bringing the Samba Boys were not as high as the figures of between US$1.5 and US$1.8 million that had been thrown around.

"The deal is signed and we are all happy about it. We have come to a price that I know and I am certain that we are all happy about. The Government of Zimbabwe is happy and we are happy. The deal is 100 per cent confirmed.

"But it is far lower than the figures that have been reported," Leisegans said.
Dunga and his World Cup squad flew into South Africa yesterday morning with the Samba Boys immediately heading to their base within Randpark Golf Club in Johannesburg.

Source: www.goal.com or The Zimbabwe Situation
 
ni kweli, ni rand million kumi na moja, siyo dola kulingana na wabrazil...hata hivyo bado ni hela nyingi kwetu.
 
Hivi kweli.. mnaweza kufikiria kuwaleta Brazil itakuwa less than at least 2 million USD? Hizo timu zina talent ambayo ikijumlishwa hela ya wachezaji wake inatosha kuwa kauchumi ka nchi moja ya kiafrika. Ni lazima watakuwa wamepewa offer ambayo ingekuwa ngumu kuikataa.
 
Hivi kweli.. mnaweza kufikiria kuwaleta Brazil itakuwa less than at least 2 million USD? Hizo timu zina talent ambayo ikijumlishwa hela ya wachezaji wake inatosha kuwa kauchumi ka nchi moja ya kiafrika. Ni lazima watakuwa wamepewa offer ambayo ingekuwa ngumu kuikataa.

Taarifa zisizo rasmi zinasema timu hiyo ya Brazil wamelipwa USD1.5 million.
 
KWA MWENDO HUU WIZI NA UFISADI VITAISHA?
Consider this:
Kima cha chini cha mshahara ni 150,000/=
ticket ya mpira 200,000/=
Si ni kishawishi hiki?
ama kweli OPPORTUNITY ( AND TEMPTATION) MAKES THE THIEF!


WoS 150,000 ni mishahara mipya au?
 
Maskini mie na kima changu cha chini nitashindwa kuangalia hiyo mechi live..
Kama mnaweza nisaidieni hela ya kiingilio
 
Duh! imekula kwangu! Huwa najifanya matawi sikuzote naingia jukwaa la pili kwa hadhi..kwa kulipa 20000. Lakini leo thelathini 30000 kima cha chini! duh! nitahimili kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom