The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
tofauti ni nini?
Tofauti ni kwamba kuna meli, boat, mashua na majahazi. Sasa utajaza mwenyewe kipi ni chombo salama!!!!!!!!!!!!!!!!! Swali langu lime-base hapo!!!!!!!!!!!!!
tofauti ni nini?
nania abanwe? haipo hio tanzania....kesho kikwete anatuma rambi rambi na kutoa ubani wa buku 20 kwa kila mfiwa imetoka tunasahau tunasubiri jingineItakuwa hako kaboti kalikuwa kabovu lakini kakaachiwa kabebe roho za watu. Wamiliki wabanwe ili iwe fundisho kwa wengine.
nania abanwe? Haipo hio tanzania....kesho kikwete anatuma rambi rambi na kutoa ubani wa buku 20 kwa kila mfiwa imetoka tunasahau tunasubiri jingine
Hiyo boti ndogo ilikuwa inasafirisha bidhaa bandia usiku huo nyingi ya hizo zina mazoea na bandari bubu ya tegeta vitu vingi sana feki toka nchi za asia vinapitia katika bandari bubu na nyingi vinapatikana katika maduka haswa ya watu wenye asili ya visiwani
Tofauti ni kwamba kuna meli, boat, mashua na majahazi. Sasa utajaza mwenyewe kipi ni chombo salama!!!!!!!!!!!!!!!!! Swali langu lime-base hapo!!!!!!!!!!!!!
Hiyo boti ndogo ilikuwa inasafirisha bidhaa bandia usiku huo nyingi ya hizo zina mazoea na bandari bubu ya tegeta vitu vingi sana feki toka nchi za asia vinapitia katika bandari bubu na nyingi vinapatikana katika maduka haswa ya watu wenye asili ya visiwani
Sasa hilo jahazi lililowaokoa ,au pale bandarini kuna uajiri wa mtoto wa shangazi na mjomba hawana elimu wala uzoefu ni showing off tu ,kwa inavyotakiwa wawepo watu wenye uzoefu well trainning so far ni wanaojua kunyoosha mkono mwisho wa mwezi kuna tofauti gani na waajiriwa hewa .roho inayokaribia kupoteza nafsi inaujasiri zaidi wa kujiokoa, kuliko iliyonzima, kwani inawoga wa maafa. yawezekana kabisa walijaribu kwenda na mawingu yakawatisha
Sasa kama haina uwezo waliendakwa kupapasa huko walikofika baharini na kuliona wimbi ni la size ya mtu anejua kuogelea na kurudi nchi kavu ,wakiwawacha watu wachape mikono. Unajua polisi wakikupiga risasi ya mguu wakikuweka ndani ya gari wanakumaliza kabisa kwa kukuongezea nyingine ili kufuta ushahidi na masuali ila huyu mkuu wa Polisi Amelaniwa na Mwenyezi Mungu inawezekana waliowaona wanaopigania kujiokoa lakini walishindwa kuwavuta kwa sababu walikuwa hawana nyenzo za kuwavutia hivyo wakaona warejee na wale watamalizika mmoja mmoja kwa kuishiwa na nguvu na wote watapoteza maisha ,ole wao mmoja aseme aliiona boti yao na ikiwapita kuwazidi kuwasukumizia mawimbi unauonaje huu mstari ? Japo hakutafanywa lolote.Dadisi zaidi, inawezekana hiyo boti ya uokoaji haina uwezo wa kufanya kazi usiku ama hata dira haina. Kwahiyo lazima walihitaji mwanga wa asili na hisi tu!
Tunazungumzia trained people hapa hivyo uelewe they are trained for the job ,unafundisha ukomando kwa special job na WaTanzania wamewaweka pale bandarini ikiaminika waweze kutoa suluhisho katika hali kama hizo sasa unasema wanaogopa kufa mbona hawaukatai mshahara ,hivi wanalipwa bure au mpaka bahari iwe shwari ndio sababu zilizotufanya tukakodi meli za kigeni kutulindia mipaka ya baharini wengine wasiibe samaki kwa wajanja watafunga dili huko huko baharini na kulipwa na huku wakirudi wanahakikisha feza ya mkataba inaingia ,ile kesi imeishia wapi tuliona magufuli kifua mbele lakini hatujasikia tena hatima yake baada ya siku mbili ya magazeti ya mafisadi kuandika mashairi ya kuwazuga WaTanzania.roho inayokaribia kupoteza nafsi inaujasiri zaidi wa kujiokoa, kuliko iliyonzima, kwani inawoga wa maafa. yawezekana kabisa walijaribu kwenda na mawingu yakawatisha