Tanzania ni kati ya Nchi 25 za Afrika zilizopoteza takriban Tsh. Trilioni 22.6 kwa kuzima Mitandao

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
RIPOTI: Nchi za Tanzania, Kenya, Sudan na Ethiopia zimetajwa katika Nchi 25 ambazo zilipoteza jumla ya Tsh. Trilioni 22.6 kutokana na kuzimwa kwa Mitandao ya Kijamii na Intaneti kulikodumu kwa zaidi ya Saa 79,238 mwaka 2023.

NetBlocks imeripoti kuwa Kenya pekee ilipoteza takriban Tsh. Bilioni 66 kwa kuzima Mtandao wa Telegram kulikofanywa kwa Wiki moja ya Novemba 2023 kwa lengo la kudhibiti Uvujaji wa Mitihani ya Sekondari.

Imeelezwa, kwa kila siku ambayo Mtandao wa Telegram ulizimwa, Watumiaji wake Kibiashara walikuwa wakipata hasara ya Tsh. 8,467,429,360 katika Mauzo, Mishahara na Faida nyingine za Kiuchumi.

Uchambuzi uliofanywa na Mtandao wa Top 10 VPN kutoka Uingereza unaoshughulikia masuala ya Faragha na Usalama mitandaoni, unaonesha mwaka 2023 ulikuwa na ongezeko la 18% la matukio ya Uzimaji wa Mitandao barani Afrika.

=========

Kenya lost Sh4.2bn to Telegram shutdown in 2023

Kenya is estimated to have lost $27.02 million (Sh4.2 billion) due to the Telegram downtime experienced in November last year during the last week of the secondary school national examinations.

Calculations by NetBlocks, a London-based internet rights organisation shows that the 8-day shutdown of the popular messaging platform in Kenya significantly inconvenienced businesses relying on it, making them incur billions in losses.

For each day that Telegram was down, the businesses and the country are estimated to have lost a total of Sh537 million in foregone sales, wages, and economic benefits that are estimated to trickle down from use of the application in Kenya.

Read: Why did Facebook, Instagram and WhatsApp shut down?

NetBlocks calculates the economic cost of social media shutdowns from World Bank and International Telecommunications Union (ITU) indicators, which estimate, in monetary terms, the economic benefits generated in a country from uninterrupted internet and social media use.

Telegram, an instant messaging platform mostly used for sharing large multimedia files, is one of the most popular social media platforms in Kenya and globally, with an estimated 800 million daily active users, according to data firm Statista.

The outage experienced for more than a week last year, was never formally announced or acknowledged by the Communications Authority of Kenya, but its coincidence with the Kenya Certificate of Secondary Education examinations may have been an indication that the shutdown was a measure to curtail cheating in the college-entry tests.

Analysis by Top10VPN, an internet privacy and security organisation in the UK, shows that Kenya’s loss was the sixteenth largest out of all the 25 jurisdictions that shutdown the internet or different social media platforms last year.

Jointly, the 25 countries, which include Tanzania, Sudan, and Ethiopia, lost $9 billion (Sh1.4 trillion) to the internet disruptions, which generally lasted for 79,238 hours, an 18 percent increase from 2022.
 
Back
Top Bottom