Bosi wa gereza (w) kilosa,amvunja mguu mke wake.

McEM

Member
May 7, 2011
64
3
Ili kuwa kati ya saa 6 na 7 usiku,wakati wakitokea kwenye matumizi wakiwa ndani ya gari kulikua na mabishano ndipo alipo msukuma na kudondoka chini na yeye kuondoka zake. Bahati alitoke msamaria (polisi) akampeleka polis na badae hospitali alikolazwa
 
Back
Top Bottom