Born 2000's kids mwaka huu 2024 watafunga miaka 24 rasmi

Yaaan acha tu.. huwa nataman ningepata mtoto nikiwa form two kabisa
Vitisho vilikuwa vingi sana. Mwanangu wa kwanza angekuwa anamaliza chuo mwaka wa tatu namuandaa na Ndoa mwakani. Ila vitisho vya wazazi kutuambia mimba ni haramu vimetutisha sana.

Wengine sijui kama tutakuja shuhudia wajukuu zetu wakipata watoto.
 
Vitisho vilikuwa vingi sana. Mwanangu wa kwanza angekuwa anamaliza chuo mwaka wa tatu namuandaa na Ndoa mwakani. Ila vitisho vya wazazi kutuambia mimba ni haramu vimetutisha sana.

Wengine sijui kama tutakuja shuhudia wajukuu zetu wakipata watoto.
Kwa familia zinazojua mwendelezo wa uzao na malez Bora Kwa ajili ya kizaz huwa kijana anaoa ana miaka 17 au 18.. au 20 .. hapo mzaz anahakikisha kijana ameoa .. bila kujali yupo shule au hapana.. kijana anaenda shule anasoma mke anaangaliwa na mzaz.. mfano: wakurya, wasukuma, wasumbwa,,, jamii za kiislam.. Sasa njoo Kwa sisi waswahili na watu tulioparanganyika !!!!! Mtu anaaachwa mpaka anazeeeka bila kuoa au kuwa na mtoto. Watoto ni hazina aseeee.. Leo hii naangalia watoto wa 2005, ndo vijana kabiisa eti anafanya kazi zote kama mwanaume
 
Kwa familia zinazojua mwendelezo wa uzao na malez Bora Kwa ajili ya kizaz huwa kijana anaoa ana miaka 17 au 18.. au 20 .. hapo mzaz anahakikisha kijana ameoa .. bila kujali yupo shule au hapana.. kijana anaenda shule anasoma mke anaangaliwa na mzaz.. mfano: wakurya, wasukuma, wasumbwa,,, jamii za kiislam.. Sasa njoo Kwa sisi waswahili na watu tulioparanganyika !!!!! Mtu anaaachwa mpaka anazeeeka bila kuoa au kuwa na mtoto. Watoto ni hazina aseeee.. Leo hii naangalia watoto wa 2005, ndo vijana kabiisa eti anafanya kazi zote kama mwanaume
Na ukitazama 2005 wewe ulikuwa unatomba kabisa na ulikuwa na bao la kushikisha mimba ila ndio ile hofu na vitisho vya wazazi wetu halafu ukitazama hata walichotuokoa nini hata hauoni zaidi ya kutupa stress tu.

Unajua kitu ambacho huwezi kubadilisha kinauma sana unawazia kwann usingefanya otherwise.

Mtoto wa kuzaliwa 2003 au 2004 au 2005 saa hii ni mkubwa na unamfundisha maisha kabisa. Hapa katikati kuna upotoshaji mkubwa sana umefanyika aisee.
 
Yani kwamba vitoto vya 90s sio story tena, juzi tu hapa nilikuwa najisemea moyoni siwezi kudate mtoto wa 90s. Leo story imehamia kwa vitoto vya 2000s.

Proof kwamba maisha ni mafupi mno, live now coz kesho hata haieleweki.
Watoto wa 2000 moto wao hauwezi kuuzima na mikwara. Wapo vizuri wamewakalisha vibaya sana shangazi zao maana saa hii kwenye soko kukutana na mwanamke wa miaka ya 1990 au 1980 utamuonea huruma.
 
Na ukitazama 2005 wewe ulikuwa unatomba kabisa na ulikuwa na bao la kushikisha mimba ila ndio ile hofu na vitisho vya wazazi wetu halafu ukitazama hata walichotuokoa nini hata hauoni zaidi ya kutupa stress tu.

Unajua kitu ambacho huwezi kubadilisha kinauma sana unawazia kwann usingefanya otherwise.

Mtoto wa kuzaliwa 2003 au 2004 au 2005 saa hii ni mkubwa na unamfundisha maisha kabisa. Hapa katikati kuna upotoshaji mkubwa sana umefanyika aisee.
Mkuu 2005.. nipo form 2 !!!! Na kumbka enzi hizo tunamaliza la 7 miaka 16 au 16. Sasa Nina 18 nashindwaje tomba wakati nimeanza tomba nipo la 7.. mademu wa la 7 enzi hizo demu ana 16 au 17. Kumbuka kipindi hicho unafaulu kuingia form 1 peke Yako ..Mimi tulienda sec. Wawili tu!!!!!! Sasa madem wananishobokea but nipo FOCUSED KINYAMAAAAAAaa!!!!! Kudadeiki ...sawa elimu ninayo Buti watoto ndo Bado siwezi tuma hata dukani maninaaaaaaaaaaa! Ukilituma linapoteleaaaaaaa huko.. najifariji kutafuta pesa aseeeeeeeee
 
Kwa Ss ambao tuko 35+ na bado hatujapata watoto sijui inakuaje ?🤔
Mkuu 2005.. nipo form 2 !!!! Na kumbka enzi hizo tunamaliza la 7 miaka 16 au 16. Sasa Nina 18 nashindwaje tomba wakati nimeanza tomba nipo la 7.. mademu wa la 7 enzi hizo demu ana 16 au 17. Kumbuka kipindi hicho unafaulu kuingia form 1 peke Yako ..Mimi tulienda sec. Wawili tu!!!!!! Sasa madem wananishobokea but nipo FOCUSED KINYAMAAAAAAaa!!!!! Kudadeiki ...sawa elimu ninayo Buti watoto ndo Bado siwezi tuma hata dukani maninaaaaaaaaaaa! Ukilituma linapoteleaaaaaaa huko.. najifariji kutafuta pesa aseeeeeeeee
 
Mkuu 2005.. nipo form 2 !!!! Na kumbka enzi hizo tunamaliza la 7 miaka 16 au 16. Sasa Nina 18 nashindwaje tomba wakati nimeanza tomba nipo la 7.. mademu wa la 7 enzi hizo demu ana 16 au 17. Kumbuka kipindi hicho unafaulu kuingia form 1 peke Yako ..Mimi tulienda sec. Wawili tu!!!!!! Sasa madem wananishobokea but nipo FOCUSED KINYAMAAAAAAaa!!!!! Kudadeiki ...sawa elimu ninayo Buti watoto ndo Bado siwezi tuma hata dukani maninaaaaaaaaaaa! Ukilituma linapoteleaaaaaaa huko.. najifariji kutafuta pesa aseeeeeeeee
 
Kwa Kweli muda Ni adui mkubwa Sana kwa wanawake, sema wengi hii ishu huwa wanaichukulia poa then wanakuja kujistukia baadae.
 
Can you please elaborate on this
Mwaka kesho 2025 utakuwa ni mwaka ulio katikati, kati ya mwaka 2000 na 2050.

Miaka itakayopita tangu 2000 mpaka 2025, ni sawa na miaka kati ya 2025 na 2050.

Tunafikisha robo ya karne mpya.
 
Back
Top Bottom