mathcom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,396
- 518
duuh mimi hii ilishanikuta kama mara mbili ni balaa....
ya kwanza nilikuwa advance nikampenda binti mmoja kupindukia alinitesaje?.wacha kabisa nilikuwa namuwaza hadi kichwa kinauma naloweka taulo najikanda kichwa lakini wapi mtoto haelewi kabisa.
ya pili university nikampenda demu kumbe ana mtu wake duh balaa lake sasa, niliishia kushika pembe wengine wanakamua..acha kabisa usipokuwa makini na kuweza kuzikana hisia zako unapoteza malengo.
Pole mkuu, sasa baada ya hapo ikawaje, iliendelea kupenda au ulituliza boli kwanza, au ukaanza kupendwa wewe!!