Michael Mlay
Member
- Aug 24, 2022
- 45
- 47
Habari zenu wanajamii Forums
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu