Wanajamvi hivi Boom linatoka liniii?hali tete vyuoni..kama kuna mwenye tetesi atupe
udsm tayari, ndio raha ya kusoma chuo cha taifa, nimesaini ijumaa , jmos limeingia, laki 6.5, madogo wa A level kazen mje UDSM the home of the intellectual
upo chuo gani?? inategemea na chuo..
udsm tayari, ndio raha ya kusoma chuo cha taifa, nimesaini ijumaa , jmos limeingia, laki 6.5, madogo wa A level kazen mje UDSM the home of the intellectual
dah 6.5 hopefuly sisi wa imtu kitakuja kitu kama cha saba kasoro hivi .. narisubiria kuliko maelezo watu tumepanga vyumba tunashindwa kuhamia sababu ya boomudsm tayari, ndio raha ya kusoma chuo cha taifa, nimesaini ijumaa , jmos limeingia, laki 6.5, madogo wa A level kazen mje UDSM the home of the intellectual
Wale wa UDSM waliosaini mapema account zimeshasoma fresh.
kwetu majanga, hata dalili ya kusign hakuna kabisaa! na vihela vyenyew ndo vinaishia ivyo.. naona dalili ya mfulio hapa
kwetu majanga, hata dalili ya kusign hakuna kabisaa! na vihela vyenyew ndo vinaishia ivyo.. naona dalili ya mfulio hapa
daH mbona ela mbuz xaxa
wapi dogo