LUKAMA
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,081
- 1,271
Kwema hapo wakuu
mimi ni mdau wa remote jobs hasa upwork.
Niliona tangazo huko upwork nika apply jamaa kanijibu nikapata kazi. Jamaa alinipa link ya telegram ambo upwork hawaruhusu kufanya ivo cos upwork hawapati chochote kutoka kwangu (upwork wanakata 10% kwa kila kazi ninayo fanya).
Kazi yenywe ilikuwa ku retype kitabu cha page 100, kazi nimefanya inatakiwa nimkabizi jamaa kesho, wasi wasi wangu nukuhusu malipo ambayo tumekubaliana.
Mwanzoni mwa kazi jamaa alisema atafanya bank transfer nikimaliza kazi, pia katika hili hofu yangu ni bank je wanakubari, afu pia nikimpa detail zangu za bank hawezi kukomba hada kidogo nilicho nacho.
Naomba ushari katika hili,
mimi ni mdau wa remote jobs hasa upwork.
Niliona tangazo huko upwork nika apply jamaa kanijibu nikapata kazi. Jamaa alinipa link ya telegram ambo upwork hawaruhusu kufanya ivo cos upwork hawapati chochote kutoka kwangu (upwork wanakata 10% kwa kila kazi ninayo fanya).
Kazi yenywe ilikuwa ku retype kitabu cha page 100, kazi nimefanya inatakiwa nimkabizi jamaa kesho, wasi wasi wangu nukuhusu malipo ambayo tumekubaliana.
Mwanzoni mwa kazi jamaa alisema atafanya bank transfer nikimaliza kazi, pia katika hili hofu yangu ni bank je wanakubari, afu pia nikimpa detail zangu za bank hawezi kukomba hada kidogo nilicho nacho.
Naomba ushari katika hili,