Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,226
- 79,517
Ndugu wana-JF,
Hivi solution ya msongamano pale Ubungo ni kuondoa kile kituo tu? kwa uwezo wetu woote wa kufikiri, ni lazima Ubungo bus terminal iondoke kuninusuru Dar na msongamano? na itapelekwa wapi kwenye nafasi kama ile ndani ya Dar? na vipi kuhusu mali za wenye mabasi waliowekeza mle ndani kama wenye vituo binsafi na vituo vya mafuta na hotel? watafidiwa?
Na suali nyeti zaidi nani atapewa ile nafasi pale baada ya kituo kile kuhama? tunaambiwa kuna vigogo wanapigana vikumbo kuchukua ile nafasi na hii ndo sababu kubwa zaidi ya kukiondoa kile kituo! Kwanini basi kama kuna mpango wa kujenga flyover Ubungo sioni sababu ya kushindwa kuunganisha junction ya kituo cha mabasi katika hiyo flyover! Kiufupi tu na kwa haraka nathani UBT haiihitaji kuwa na mlango wa kuingia na kutoka upande mmoja bali kuangaliwe uwezekano wa mlango wa kuingia kuwa upande wa Sam-Nujoma Road kwa maana ya mkango uwe kwa nyuma ya kituo kile na hii itasaidia ku-incorparate road exit katika fly-over itakayojengwa na kwa upande wa Morogoro Road basi kujengwe by-pass itakayohepa muingiliano wa mabasi kwa matumiaji wengine wa barabara! Hivi vitu vinahitaji wasanifu kukaa na ku-design si wanasiasa wenye madhumuni ya kufaidika na ile nafasi pale! Ikumbukwe the likes of Simba wako wengi tu wananyemelea ile nafasi na creativity kwao ni kuamishwa kwa kile kituo! na kwa kukisia tu kile kituo kitapelekwa Msoga na kukosesha jimbo la Ubungo mapato wanayopata kutokana na kituo kile! tusubiri tuone!
Hii ndio serikali ya Kikwete tuijuavyo imekosa ubunifu kabisa! naomba Mnyika asikubali kituo kile kihamishwe pale kabisa ila kiboreshwe na kuwa cha kisasa yaani waiting room iwe indoor na parking za mabasi ziwe underground!
http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/9703-dar-es-salaam-bus-terminal-cost-irks-kikwete
Hivi solution ya msongamano pale Ubungo ni kuondoa kile kituo tu? kwa uwezo wetu woote wa kufikiri, ni lazima Ubungo bus terminal iondoke kuninusuru Dar na msongamano? na itapelekwa wapi kwenye nafasi kama ile ndani ya Dar? na vipi kuhusu mali za wenye mabasi waliowekeza mle ndani kama wenye vituo binsafi na vituo vya mafuta na hotel? watafidiwa?
Na suali nyeti zaidi nani atapewa ile nafasi pale baada ya kituo kile kuhama? tunaambiwa kuna vigogo wanapigana vikumbo kuchukua ile nafasi na hii ndo sababu kubwa zaidi ya kukiondoa kile kituo! Kwanini basi kama kuna mpango wa kujenga flyover Ubungo sioni sababu ya kushindwa kuunganisha junction ya kituo cha mabasi katika hiyo flyover! Kiufupi tu na kwa haraka nathani UBT haiihitaji kuwa na mlango wa kuingia na kutoka upande mmoja bali kuangaliwe uwezekano wa mlango wa kuingia kuwa upande wa Sam-Nujoma Road kwa maana ya mkango uwe kwa nyuma ya kituo kile na hii itasaidia ku-incorparate road exit katika fly-over itakayojengwa na kwa upande wa Morogoro Road basi kujengwe by-pass itakayohepa muingiliano wa mabasi kwa matumiaji wengine wa barabara! Hivi vitu vinahitaji wasanifu kukaa na ku-design si wanasiasa wenye madhumuni ya kufaidika na ile nafasi pale! Ikumbukwe the likes of Simba wako wengi tu wananyemelea ile nafasi na creativity kwao ni kuamishwa kwa kile kituo! na kwa kukisia tu kile kituo kitapelekwa Msoga na kukosesha jimbo la Ubungo mapato wanayopata kutokana na kituo kile! tusubiri tuone!
Hii ndio serikali ya Kikwete tuijuavyo imekosa ubunifu kabisa! naomba Mnyika asikubali kituo kile kihamishwe pale kabisa ila kiboreshwe na kuwa cha kisasa yaani waiting room iwe indoor na parking za mabasi ziwe underground!
http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/9703-dar-es-salaam-bus-terminal-cost-irks-kikwete