Tatizo letu hatujui kuendeleza vipawa maana hapa wakitokea wazazi wao si ajabu wakawatoa baru bila kujali kukuza vipawa vyao. Inawezekana tukaja kupata waimbaji wa nyimbo za injili nani anajua!!!!!!!!!!!!!!!!
Duh!!!Wamenifurahisha niaje!!!Nimejikuta nawafananisha na Shikamoo Jazz band,safi sana hata kama hii sirikali haiwaoni watoto kama hawa na ndoto zao ipo siku tu watapata ukombozi.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.