Didia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 719
- 258
Kwamba hayajawahi kutumiwa na makeshi yetu!!!!! unajua wanataka kutuma ujumbe gani hao? Hizo ni mbinu za kuchomoa jeshi la polisi katika kashfa hii. Halafu taarifa yenyewe umeipata kwa polisi wenyewe!!!!!!!!!!!! Changanya na zakwako. AU ndo mnajipanga hivyo?