Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,198
Mkuu mbona wewe na Mungi mnahangaika sana tangia hili tukio lilivyo anza? Au ndio yale maagizo aliyo pata Ben kutoka Ujerumani? Ongezeni bidii ya kutunga uongo, bi Mkubwa atawaletea zawadi kutoka ujerumani.
Kwa sababu sasa inakera ..na imeshakuwa uovu mkuu.Pengine hujui hasira ya watanzania...ilipofikia.Barbaric CCM