Wakuu,wakati wa malumbano ya Mwakyembe na Rostam,mh.Ole Sendeka aliahidi kutoa bomu la mwisho la kuwasambaratisha mafisadi.Mbona hilo bomu mpaka leo sijalisikia au ni mimi peke yangu?Mzee Ole Sendeka ahadi ni deni kama bado hujalitoa basi tafadhali fanya hima tunalisubiri manake isije ikawa na wewe umelambishwa au kutishiwa bomu na haohao unaowaita mafisadi!