Kimetah
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 1,049
- 188
Taharuki,vilio na majonzi vimehamia manispaa ya moshi,mtaa wa PASUA baada ya kukuta nyumba zao zimewekwa alama ya X na maneno ONDOA na BOMOA.
Zaidi ya wakazi mi2 waliojenga katika eneo lililopimwa na serikal mwaka 2005,wamevamiwa na watu wasiojulikana kwa kuandika kwny ukuta wa nyumba zao maneno ONDOA na BOMOA kisha kuweka alama ya X na kutoa notisi ya siku 30 za kubomoa nyumba,notisi hiyo inaonyesha imetoka kwny kampuni hodhi ya rasilimali za reli (RAHACO).
Historia ya eneo hilo.
Eneo hilo lilitwaliwa na manispaa ya moshi toka kampuni ya reli kwa utaratibu wote wa kiserikali,kisha manispaa ya moshi ikapima na kuwagaiya wananchi na kuwakabidhi hati ya ardhi na masharti ya kuyaendeleza maeneo hayo.Wananchi walifata mashart hayo ikiwa ni pamoja na kujenga kwa kuwa na ramani iliyothibitishwa na manispaa pamoja na building permit.
Uthibitisho wa makazi halali.
Wananchi hao wameonyesha hati ya kumiliki eneo hilo,barua ya ofa,risiti za malipo,ramani ya nyumba na barua ya kuruhusiwa kujenga.
Wananchi wanahoji.
1.Kwa nini wavamiwe kwny nyumba zao na kuambiwa wabomoe,wakati wamefata sheria za kupata eneo na kuliendeleza?
2.Kwa nini manispaa haijahusika katika kutupa hiyo notisi wakat wao ndio wamehusika katika kutukabidhi maeneo.
3.Mgongano kati ya kampuni hodhi ya reli na manispaa unatokana na nini wakati ni nchi moja?
4.Hao kampuni hodhi ya reli haioni jinsi mtaa ulivyopangiliwa kwa vigezo vyot na nyumba zilivyojengwa?
Wananchi Wanaomba.
1.Wasivunjiwe kwani ni wamilik halali wa eneo husika
2.Waziri wa Ardhi Mh.Lukuvi tunaomba aje katika eneo la tukio ili ajionee dhuluma inayopangwa kisha atoe tamko.
3.Mkuu wa mkoa na wilaya njooni eneo la tukio kushuhudia,msisubiri taarifa ofisini.
Zaidi ya wakazi mi2 waliojenga katika eneo lililopimwa na serikal mwaka 2005,wamevamiwa na watu wasiojulikana kwa kuandika kwny ukuta wa nyumba zao maneno ONDOA na BOMOA kisha kuweka alama ya X na kutoa notisi ya siku 30 za kubomoa nyumba,notisi hiyo inaonyesha imetoka kwny kampuni hodhi ya rasilimali za reli (RAHACO).
Historia ya eneo hilo.
Eneo hilo lilitwaliwa na manispaa ya moshi toka kampuni ya reli kwa utaratibu wote wa kiserikali,kisha manispaa ya moshi ikapima na kuwagaiya wananchi na kuwakabidhi hati ya ardhi na masharti ya kuyaendeleza maeneo hayo.Wananchi walifata mashart hayo ikiwa ni pamoja na kujenga kwa kuwa na ramani iliyothibitishwa na manispaa pamoja na building permit.
Uthibitisho wa makazi halali.
Wananchi hao wameonyesha hati ya kumiliki eneo hilo,barua ya ofa,risiti za malipo,ramani ya nyumba na barua ya kuruhusiwa kujenga.
Wananchi wanahoji.
1.Kwa nini wavamiwe kwny nyumba zao na kuambiwa wabomoe,wakati wamefata sheria za kupata eneo na kuliendeleza?
2.Kwa nini manispaa haijahusika katika kutupa hiyo notisi wakat wao ndio wamehusika katika kutukabidhi maeneo.
3.Mgongano kati ya kampuni hodhi ya reli na manispaa unatokana na nini wakati ni nchi moja?
4.Hao kampuni hodhi ya reli haioni jinsi mtaa ulivyopangiliwa kwa vigezo vyot na nyumba zilivyojengwa?
Wananchi Wanaomba.
1.Wasivunjiwe kwani ni wamilik halali wa eneo husika
2.Waziri wa Ardhi Mh.Lukuvi tunaomba aje katika eneo la tukio ili ajionee dhuluma inayopangwa kisha atoe tamko.
3.Mkuu wa mkoa na wilaya njooni eneo la tukio kushuhudia,msisubiri taarifa ofisini.